Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bhado mtoto yule🤣🤣🤣🤣Pole mwaya, ndio ukubwa.
Si alisema yeye level zake ni kubwa za kushindanishwa na akina mondi!! Analia nini sasa?Bhado mtoto yule🤣🤣🤣🤣
Daaah aiseee... Hvi pale atakua amepata hasara au ni nusu kwa nusu...😥😥😥Si alisema yeye level zake ni kubwa za kushindanishwa na akina mondi!! Analia nini sasa?
🤣🤣🤣🤣 Atajua mwenyewe. Apambane tu japo hata mimi sizielewi nyimbo zake.Daaah aiseee... Hvi pale atakua amepata hasara au ni nusu kwa nusu...😥😥😥
🤣🤣🤣🤣 Wee mtata mtata tuu.. wee unaelewa za nani...?🤣🤣🤣🤣 Atajua mwenyewe. Apambane tu japo hata mimi sizielewi nyimbo zake.
Jamaa anazinguaKwanza ncheke 😂😂 anayemsahihisha mwenzake naye tukifanya ukaguzi tunakutana na nyanjo za kutosha.
Danganya mafalaHujui maisha yangu bob. Unatuona humu tuna enjoy life. Na haturushi picha za maisha yetu. Mimi maisha yangu naweza nisifanye kazi miaka 40 kuanzia sasa na nikawa na pesa ya Fuel, Starehe na kusafiri nje ya nchi mara mbili kwa mwaka. Ni Chizi Maarifa kweli kweli. Usione tupo tu humu tunachanganyika na watu wote. Ni maisha tu ndugu yangu. Siwezi kukwambia nina nini na nini.
Hujui maisha yangu bob. Unatuona humu tuna enjoy life. Na haturushi picha za maisha yetu. Mimi maisha yangu naweza nisifanye kazi miaka 40 kuanzia sasa na nikawa na pesa ya Fuel, Starehe na kusafiri nje ya nchi mara mbili kwa mwaka. Ni Chizi Maarifa kweli kweli. Usione tupo tu humu tunachanganyika na watu wote. Ni maisha tu ndugu yangu. Siwezi kukwambia nina nini na nini.
Regardless..... hujasikia crowd inaimba mimbo yake word to word?Hii ilikuwa ni concert iliyohusisha na wasanii wengine au alisimama yeye kama yeye?
No sija view hata video yenyeweRegardless..... hujasikia crowd inaimba mimbo yake word to word?
Zuchu kawa mkweli , ni ukweli mchungu Sana , huwez kulitatua tatizo Kwa kuvunga kama halipo , lazima ukubali uwepo wa tatizo ndo utapata nguvu za kulishughulikiaWatanzania Wengi Tuuu show Zao Marekani zina Doda ila tofauti yao na Zuchu ni kuwa Zuchu Kakubari kuwa Ameshindwa na Yeye Marekani bado Sana. Huo ni Mwanzo Mzuri kwake akirudi baadae haitakuwa hivyo tena.
Wasanii wengi watanzania Wakienda Marekani huwa hawataki kukubali kuwa show zai hazikujaza, Ila Zuchu amekubali mapungu na amechukulia kama sehemu ya Kujifunza
Hujui maisha yangu bob. Unatuona humu tuna enjoy life. Na haturushi picha za maisha yetu. Mimi maisha yangu naweza nisifanye kazi miaka 40 kuanzia sasa na nikawa na pesa ya Fuel, Starehe na kusafiri nje ya nchi mara mbili kwa mwaka. Ni Chizi Maarifa kweli kweli. Usione tupo tu humu tunachanganyika na watu wote. Ni maisha tu ndugu yangu. Siwezi kukwambia nina nini na nini.
Zuchu kawa mkweli , ni ukweli mchungu Sana , huwez kulitatua tatizo Kwa kuvunga kama halipo , lazima ukubali uwepo wa tatizo ndo utapata nguvu za kulishughulikia
Kuna kila dalili asingeenda US tour asingemnyea diamond airport 😁😁😁😁 itakuwa walimvuruga sana kule ,Hata mwanetu hua anajua wazungu masnitch sana anaamua kubeba na unga wa ugali na dagaa ili show ikiroga anafanya harakati za kusonga ugali huku ibra anakatakata nyanya na vitunguu
View attachment 2422404
Kuna kila dalili asingeenda US tour asingemnyea diamond airport [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] itakuwa walimvuruga sana kule ,
Basi usijudge sasa kumbe hata data hunaNo sija view hata video yenyewe
Hapa nina MB chache nishazipigia hesabu zinivushe mpaka juma 5
Na budget yangu kwa mwezi nimeipunguza mpaka hiyo 2023 ambapo Elon Musk atakuja kufanya investments za internet