Show ya Zuchu yadoda Houston USA, yeye alia, huku Diamond akiua Melbourne Australia

Show ya Zuchu yadoda Houston USA, yeye alia, huku Diamond akiua Melbourne Australia

Hujui maisha yangu bob. Unatuona humu tuna enjoy life. Na haturushi picha za maisha yetu. Mimi maisha yangu naweza nisifanye kazi miaka 40 kuanzia sasa na nikawa na pesa ya Fuel, Starehe na kusafiri nje ya nchi mara mbili kwa mwaka. Ni Chizi Maarifa kweli kweli. Usione tupo tu humu tunachanganyika na watu wote. Ni maisha tu ndugu yangu. Siwezi kukwambia nina nini na nini.
Danganya mafala
 
[emoji16][emoji16]
Hujui maisha yangu bob. Unatuona humu tuna enjoy life. Na haturushi picha za maisha yetu. Mimi maisha yangu naweza nisifanye kazi miaka 40 kuanzia sasa na nikawa na pesa ya Fuel, Starehe na kusafiri nje ya nchi mara mbili kwa mwaka. Ni Chizi Maarifa kweli kweli. Usione tupo tu humu tunachanganyika na watu wote. Ni maisha tu ndugu yangu. Siwezi kukwambia nina nini na nini.
 
Watanzania Wengi Tuuu show Zao Marekani zina Doda ila tofauti yao na Zuchu ni kuwa Zuchu Kakubari kuwa Ameshindwa na Yeye Marekani bado Sana. Huo ni Mwanzo Mzuri kwake akirudi baadae haitakuwa hivyo tena.

Wasanii wengi watanzania Wakienda Marekani huwa hawataki kukubali kuwa show zai hazikujaza, Ila Zuchu amekubali mapungu na amechukulia kama sehemu ya Kujifunza
 
Watanzania Wengi Tuuu show Zao Marekani zina Doda ila tofauti yao na Zuchu ni kuwa Zuchu Kakubari kuwa Ameshindwa na Yeye Marekani bado Sana. Huo ni Mwanzo Mzuri kwake akirudi baadae haitakuwa hivyo tena.

Wasanii wengi watanzania Wakienda Marekani huwa hawataki kukubali kuwa show zai hazikujaza, Ila Zuchu amekubali mapungu na amechukulia kama sehemu ya Kujifunza
Zuchu kawa mkweli , ni ukweli mchungu Sana , huwez kulitatua tatizo Kwa kuvunga kama halipo , lazima ukubali uwepo wa tatizo ndo utapata nguvu za kulishughulikia
 
Hujui maisha yangu bob. Unatuona humu tuna enjoy life. Na haturushi picha za maisha yetu. Mimi maisha yangu naweza nisifanye kazi miaka 40 kuanzia sasa na nikawa na pesa ya Fuel, Starehe na kusafiri nje ya nchi mara mbili kwa mwaka. Ni Chizi Maarifa kweli kweli. Usione tupo tu humu tunachanganyika na watu wote. Ni maisha tu ndugu yangu. Siwezi kukwambia nina nini na nini.

Sheikh una mkwara hatari, na hapa kuna watu utawaokota ujue
 
Zuchu kawa mkweli , ni ukweli mchungu Sana , huwez kulitatua tatizo Kwa kuvunga kama halipo , lazima ukubali uwepo wa tatizo ndo utapata nguvu za kulishughulikia

Hata mwanetu hua anajua wazungu masnitch sana anaamua kubeba na unga wa ugali na dagaa ili show ikiroga anafanya harakati za kusonga ugali huku ibra anakatakata nyanya na vitunguu
IMG_0946.jpg
 
Hata mwanetu hua anajua wazungu masnitch sana anaamua kubeba na unga wa ugali na dagaa ili show ikiroga anafanya harakati za kusonga ugali huku ibra anakatakata nyanya na vitunguu
View attachment 2422404
Kuna kila dalili asingeenda US tour asingemnyea diamond airport 😁😁😁😁 itakuwa walimvuruga sana kule ,
 
No sija view hata video yenyewe

Hapa nina MB chache nishazipigia hesabu zinivushe mpaka juma 5

Na budget yangu kwa mwezi nimeipunguza mpaka hiyo 2023 ambapo Elon Musk atakuja kufanya investments za internet
Basi usijudge sasa kumbe hata data huna
...utakuwa sio critic utakuwa hater
 
Back
Top Bottom