Show ya Zuchu yadoda Houston USA, yeye alia, huku Diamond akiua Melbourne Australia

Show ya Zuchu yadoda Houston USA, yeye alia, huku Diamond akiua Melbourne Australia

Zuchu some how anajua kingereza tena kibongo bongo anaflow vizur Sana , sjui Kwa nn anashindwa kuimba na kutunga nyimbo za kingereza , kimataifa kutoboa bila nyimbo za ngeli ni ngumu .... Ukweli nyimbo zake nyingi ni za waswahili tena walio poorly educated ndo wanazipenda na wengi wao wamerundikana East Africa....

Soko la mziki Tanzania bila ubishi limeanza kukua lakini kutoboa kimataifa huwez kuikwepa international language .... Namuona Nia anayo na upepo anao akubali kujifunza zaidi one day atajaza
We hujui kiingereza. That's why you think that lady can speak english. She can't speak english. Perhqps some shit only which you think it is english. When you learn english you will understand that "she can't speak nothing"
 
Katika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , unaambiwa kulikuwa na maraia kama 20 tuu hv , na wako busy na mambo Yao , huku wakimpiga picha mara moja moja yaan hawawaelewi..... hata hvyo bila kupepesa macho amekiri Hali hyo na kusema kuwa ameichukulia kama changamoto ili kumfanya ajipange zaidi japo amesema wazi inavunja Moyo






View attachment 2421250

Katika hatua nyingine diamond platnumz yeye amefanya vyema katika jiji la Melbourne Australia

Hii english imekwenda shule
 
Mbona anamtaja Yarabi kwenye mambo ya ushwetani wake, ye angepiga kimya tu
 
Hata apige Show 100000 .. Asilimia kubwa zinaenda kwa Boss wake... Yeye anabaki na Hela za Kula na Kulala

Wasanii wa Wasafi Hakuna Wanaojitamba Kumiliki Vitu vyao Zaidi ya Kumilikishwa tu na Wasafi na Wajitoa wanaanza Upya
Ndo music industry
 
tena huyu demu analiwa kingono na kimaslai pia. Siku nyege za simba dume zikiisha na muziki kwisha, akiwa mjanja ategeshe kama wenzake Ili aje aambulie child support.
Ananyonywaa burudani na jasho lake pia
 
We hujui kiingereza. That's why you think that lady can speak english. She can't speak english. Perhqps some shit only which you think it is english. When you learn english you will understand that "she can't speak nothing"
Nimesema somehow , na nikasema kibongo bongo , haya wewe unayejua fluent English imekusaidia nn , Acha kuvunga
 
We hujui kiingereza. That's why you think that lady can speak english. She can't speak english. Perhqps some shit only which you think it is english. When you learn english you will understand that "she can't speak nothing"
Kwanza ncheke 😂😂 anayemsahihisha mwenzake naye tukifanya ukaguzi tunakutana na nyanjo za kutosha.
 
Kama namuona [emoji849]zawadi vipochi vijuice vipipi nazimic chocolate nimekoma dear[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimesema somehow , na nikasema kibongo bongo , haya wewe unayejua fluent English imekusaidia nn , Acha kuvunga
Hujui maisha yangu bob. Unatuona humu tuna enjoy life. Na haturushi picha za maisha yetu. Mimi maisha yangu naweza nisifanye kazi miaka 40 kuanzia sasa na nikawa na pesa ya Fuel, Starehe na kusafiri nje ya nchi mara mbili kwa mwaka. Ni Chizi Maarifa kweli kweli. Usione tupo tu humu tunachanganyika na watu wote. Ni maisha tu ndugu yangu. Siwezi kukwambia nina nini na nini.
 
Zuchu- saivi Yuko busy chumbani kwake analia kwi! Kwi! Kwi!.
Btw, asife moyo ajitahidi Sana mpaka pale atakapomudu kujaza kumbi za majuu.
Siku ajijaza ukumbi huko marekan njoon mnikate masikio niko pale[emoji117][emoji117][emoji117]
 
Kwanza ncheke 😂😂 anayemsahihisha mwenzake naye tukifanya ukaguzi tunakutana na nyanjo za kutosha.
Nlidhani ungeweka hapa ambacho kimekosewa. Unadhani watu wanakosoa kiingereza kwa style yako hiyo wanayoielewa? Hebu rekebisha hapa then mimi nikupe darasa bure. Hizi lugha 4 hapa hutoki.

1. English
2. Swahili
3. Chinese
4. Spanish
 
Nlidhani ungeweka hapa ambacho kimekosewa. Unadhani watu wanakosoa kiingereza kwa style yako hiyo wanayoielewa? Hebu rekebisha hapa then mimi nikupe darasa bure. Hizi lugha 4 hapa hutoki.

1. English
2. Swahili
3. Chinese
4. Spanish
We vunga tu ndugu.
 
Back
Top Bottom