Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uyu demu ni chenga kwa icho kiingereza chake alafu amesoma lord burden ile ya kipinguKwani zuchu anasemaje juu ya neno Carrier na career, sasa kama kutofautisha hayo maneno hawezi hao wamarekani watamuelewa kweli? Basi bana aendelee na carrier yake
Lord burden ni burden kweli hamna kitu paleuyu demu ni chenga kwa icho kiingereza chake alafu amesoma lord burden ile ya kipingu
Katika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , unaambiwa kulikuwa na maraia kama 20 tuu hv , na wako busy na mambo Yao , huku wakimpiga picha mara moja moja yaan hawawaelewi..... hata hvyo bila kupepesa macho amekiri Hali hyo na kusema kuwa ameichukulia kama changamoto ili kumfanya ajipange zaidi japo amesema wazi inavunja Moyo
View attachment 2421250
Katika hatua nyingine diamond platnumz yeye amefanya vyema katika jiji la Melbourne Australia
Hehe kale katusi mbona kameyeyukaCarrier instead of Career, Wasanii wa Bongo ni weupe sana, ila ujuaji sasa!
Juzi hapa Nandi kaandika, sijui kufokea ma PARODY wa mtandao, ni hovyo hovyo tu.
Nyie wasanii, mrudi shule kenge nyie tuhela mnato shida Elimu.
Wamekatoa modsHehe kale katusi mbona kameyeyuka
😁😀😀Binti anadhani ni kwenda kuchota pesa tu.wenzake wamefukia mbuzi baharini
You dont talk of your failure in social media, thats just wrong for a starKatika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , unaambiwa kulikuwa na maraia kama 20 tuu hv , na wako busy na mambo Yao , huku wakimpiga picha mara moja moja yaan hawawaelewi..... hata hvyo bila kupepesa macho amekiri Hali hyo na kusema kuwa ameichukulia kama changamoto ili kumfanya ajipange zaidi japo amesema wazi inavunja Moyo
View attachment 2421250
Katika hatua nyingine diamond platnumz yeye amefanya vyema katika jiji la Melbourne Australia
Katika hao 100 naskia ilikuwa ni pamoja na baba levo, Juma lokole na washkaji wengine wa hapa homeShow ya diamond ilikua watu 100 tu naskia venue
We mbona mkuranga hujapataja na kule kwao pajeAnaacha kupiga shoo hukj Mtwara, Lindi, Manyara, Ruvuma, Songwe nk ambako anafahamika na kukubalika vyema halafu anakwenda huko Marekani ambako hawana shobo naye, show idode halafu ashangae.
Atulie sasa.
“wapinzani watetereke”Magufuli ai, ai ai ai
Huyu chawa wa asake wa tandale kwasasa anaharisha damu kwa mshtuko.Kale kachawa ka WCB sinza pazuri kaje huku kutoa maelezo.
I accept falling as apart.Asikate tamaa japo hiyo English yake kwenye post imeniacha hoi bin taaban
Hivi ni nani aliyeanzisha huu msemo wa aftatu naona tu msemo umetrend mitandaoniYule mwanzilishi wa Aftatu analalamika kwamba zimeadimika
Vanessa mdee alochoka kutiwa kila siku ndo upate umaarufu akaona atakigawa sana mpka kichakae akasepa kujituliza na rotimiMarekani mwanamuziki wa kike anaeweza jaza angalau kiasi ni huyu mtoto Abby Chams tu, Vanessa mdee nae engeweza ila alikata tamaa mapema.
Huyu muimba taarabu labda abadili style ya uimbaji, kwa africa atajaza ila mambele ni ngumu sana
Wanapewa asilimia ngapi ya mapato?Hata apige Show 100000 .. Asilimia kubwa zinaenda kwa Boss wake... Yeye anabaki na Hela za Kula na Kulala
Wasanii wa Wasafi Hakuna Wanaojitamba Kumiliki Vitu vyao Zaidi ya Kumilikishwa tu na Wasafi na Wajitoa wanaanza Upya