Show ya Zuchu yadoda Houston USA, yeye alia, huku Diamond akiua Melbourne Australia

Show ya Zuchu yadoda Houston USA, yeye alia, huku Diamond akiua Melbourne Australia

Katika Hali ya kushangaza show ya mwandada Zuchu imedoda baada ya watu kutokutokea kwenye show , hata hvyo bila kupepesa macho amekiri Hali hyo na kusema kuwa ameichukulia kama changamoto ili kumfanya ajipange zaidi japo amesema wazi inavunja Moyo

View attachment 2421250

Katika hatua nyingine diamond platnumz yeye amefanya vyema katika jiji la Melbourne Australia
Kwa music upi wa Zuchu wakujaza Watu kwenye show? Hiyo kudandiana na Diamond au Sukari na nakupenda Mimi!;Arudi tu aje atuimbie huku Buza Kwa lulenge.
 
Shida kubwa ni kujiweka kutaka kutembelea jina la muntu.. angeandika ametambuwa kuwa na mahusiano na mtu.. haimaanishi una muvuto.. ujumbe wake ni kutafuta huruma.. hii haifanyi kazi duniani kama nyota hauna.. hata iweje..
 
Anaacha kupiga shoo hukj Mtwara, Lindi, Manyara, Ruvuma, Songwe nk ambako anafahamika na kukubalika vyema halafu anakwenda huko Marekani ambako hawana shobo naye, show idode halafu ashangae.
Atulie sasa.
Wanachaji malipo makubwa ili itoshe kulipa mshahara kina mkubwa fela, tale nk plus 60% ya Asake wa Tandale.
 
IMG_0944.jpg

Chakufia nini mwamba alienda kupiga show marekani akabeba na masufuria na unga kwa tahadhari na kweli alikosa watu kwenye show lakini hakufa njaa
 
Nguvu ya watz bado ni ndogo kimataifa.
Ni diaspora ndio wanajenga base ya watu wetu wakienda nje. Hatuna diaspora wa kutosha nje ambao ingeweza kuleta nguvu ya kusukuma hamasa. Lugha nayo ni ishu nyingine. Tukomae humuhumu Central & East.
 
Back
Top Bottom