Faka25
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 1,738
- 1,134
DuhAfadhali harmonize yeye hua anabeba masufuria na unga kabisa na dagaa kauzu kikinuka akikosa watu halali njaa anasonga ugali wake siku zinasogea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhAfadhali harmonize yeye hua anabeba masufuria na unga kabisa na dagaa kauzu kikinuka akikosa watu halali njaa anasonga ugali wake siku zinasogea
Kwani we inakuuma nini mkuu kama hiyo hela anapata bosi wake yeye hapati si ndio maamuzi yakeHata apige Show 100000 .. Asilimia kubwa zinaenda kwa Boss wake... Yeye anabaki na Hela za Kula na Kulala
Wasanii wa Wasafi Hakuna Wanaojitamba Kumiliki Vitu vyao Zaidi ya Kumilikishwa tu na Wasafi na Wajitoa wanaanza Upya
Kingereza kililetwa na marine technology [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aina ya muziki wake nao ni changamoto pande hizo, asome gap lipo wapi ili alizibe kupasua kimataifa zaidi.
Ila hili la kuandika carrier badala ya career nalo alingalie kwa ukaribu.
Namsoma kipwani pwani tu ILA huko mbele tmpeleke vanny tu [emoji16]Inaonekana lava lava humsomi kabisa
Mtu anaimba hivi halafu eti naye unakuta anamtafuta mchawi aliye kwamisha showMagufuli ai, ai ai ai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu una utani wa ngumi na wana ccmMagufuli ai, ai ai ai
Sasa hii ndio uipeleke kule marekani ujaze kumbi kubwa kama akina wizkid au burna boy , tataweza kweli na nyimbo za sukari sukariMagufuli ai, ai ai ai
Alisema yeye ni Mkubwa sana na alinganishwe na Wanaume sio Wadada sasa mbona anaanza kuumia mapema hivyo, uanaume ni kupambana bila kukata tamaa wala kuyumbishwa.
Hata yeye na bosi wake sidhani kama wanapshana sana kwenye numbers kuhusu kujaza watu kwenye show huko majuu
Hawa wana bang sana hapa ndani ila huko majuu kwa TZ bado sana, waliotuzidi lazima tuwape shavu kama Nigeria wenzetu wapo mbali sana
Tatizo la hawa wasichana wakitembea kimapenzi na wanaojiita wasanii, na hao wanasema ni wasanii..Mtu anaimba hivi halafu eti naye unakuta anamtafuta mchawi aliye kwamisha show