Show ya Zuchu yadoda Houston USA, yeye alia, huku Diamond akiua Melbourne Australia

Eti Magufuli ai, ai ai ai 🀣🀣🀣🀣🀣

Dah watu bhana
 
Zuchu kawa mkweli , ni ukweli mchungu Sana , huwez kulitatua tatizo Kwa kuvunga kama halipo , lazima ukubali uwepo wa tatizo ndo utapata nguvu za kulishughulikia
Mpaka anaacha mziki tatizo la kutojaza show za marekani hatoweza litatua
 
Aache uchawa kwa watawala itamsaidia
 
As I'm crying and sobbing right now[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…