Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UumbwaaaMimi ni Jasusi wa kujitegemea halafu ni Mafia kama Vincenzo Cassano halafu ni Gunman .
Sometimes natumia intimidations kufyeka maadui na maboyaz , japo sijawahi kusema Mimi ni Mod ila wamejaa kwenye mfumo wangu huwa nikiwatisha kuwa watakula Ban hawakai siku 3 wnachezea ban kumbe mchezo unakuwa hivi nawaweka kwenye killing zone Kisha wanajaa kwenye mfumo wa ban wenyewe.
Nafurahi wananiogopa wameshakuwa convinced kuwa Mimi ni mod.
Marassss The Mongolian Savage wee lizee natamani tuzichape umbwa wewe.
Acha kuninafkia mkuu mimi ni saidia fundi tu 😂Vishu Mtata tukomae kuomba deiwaka hapa, Half american ana shusha chuma Cha maana🤣😂
Mkuu hakuna kuremba kikubwa unasomeka.
Usijipe presha ndio kwanza ata kiwanja sinaNaona masuala ya gypsum board, dar kweli jobless nina safari ndefu 🤣😂
Apo kaandika baada ya kumaliza kumenya ndizi na kupika bagia za dengu 😂
Umechukua mda gani kuandika hii 😜
2 minutes na sijashika pen toka Jan_1Umechukua mda gani kuandika hii 😜
Ni vizuri ume usoma maana maticha walikuwa wananiambia niwe naandika vizuri la sivyo nitasahisha mitihani yangu mwenyewe😆😆😆 huwa nandika "e" juu chini inakuwa kama sita 😁😁Mkuu hakuna kuremba kikubwa unasomeka.
🤣🤣🤣 hebu muache mpishi wetu!Apo kaandika baada ya kumaliza kumenya ndizi na kupika bagia za dengu 😂
dah nusu albino hiyo karatasi ya kitambo , maana yake mjengo bado kidogo.Usijipe presha ndio kwanza ata kiwanja sina
Invoice ya mahesabu hiyo bibieWhat is this?😳
Dah father mjengo, dah na huo u nusu albino uta sumbua 😂Acha kuninafkia mkuu mimi ni saidia fundi tu
Falwa sanwa we jamwaaDah father mjengo, dah na huo u nusu albino uta sumbua 😂
Kazi umepata mkuudah nusu albino hiyo karatasi ya kitambo , maana yake mjengo bado kidogo.
nipe hata kazi ya ulinzi, si huwa una niona niko live usiku wa manane😂🤣
Na hapo anawaza pishi la mikate ya kumimina na vitunguu😂🤣🤣🤣 hebu muache mpishi wetu!
😂 hao walimu ni uvivu tu mwandiko mbona unasomeka.Ni vizuri ume usoma maana maticha walikuwa wananiambia niwe naandika vizuri la sivyo nitasahisha mitihani yangu mwenyewe😆😆😆 huwa nandika "e" juu chini inakuwa kama sita 😁😁