Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23].. umenikumbusha mbali sana huu mwandiko, kama wa bibi yangu.
Umeanza ufala 😁😁😁🙌🏾🙌🏾Mmeniforce nishike biki, nimeshika sa sijui niandike kipi.../
Na mwandiko mchafu si mnipe jiki?, niandike kwa vina mpaka mniite gwiji.../
Kuna mwana nataka nimchane, nawajuza mi ndo nilie muandikia Saint Anne...au sio mwana wane?
Mcheki Its Pancho kaanzisha mada afu kanywea, stuka mwenzako Prisonerx kaandika hadi vifaa vya hardware.../
Huu mwandiko unapendeza nimeulaza kifudifudi, na ndio maana siufichi nauweka wazi uonekane sio kama Bujibuji.../
Patriarch mwanangu ebu punguza hisabati, umefanya mpaka moyo wa ledada usiwe smart.../View attachment 1856636
hiyo font family Microsoft wananua bei nzuri. fanya mpango tukauzeLord of Jacob [emoji7][emoji120]View attachment 1856432
#Saint Anne
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa, muungwana akivuliwa taulo huchutama[emoji23] Ule wa mwanzo umeutupia kapuni.
Kitu phyz.
Doctor like hand writing...
Kwa mistari nakukubaliMmeniforce nishike biki, nimeshika sa sijui niandike kipi.../
Na mwandiko mchafu si mnipe jiki?, niandike kwa vina mpaka mniite gwiji.../
Kuna mwana nataka nimchane, nawajuza mi ndo nilie muandikia Saint Anne...au sio mwana wane?
Mcheki Its Pancho kaanzisha mada afu kanywea, stuka mwenzako Prisonerx kaandika hadi vifaa vya hardware.../
Huu mwandiko unapendeza nimeulaza kifudifudi, na ndio maana siufichi nauweka wazi uonekane sio kama Bujibuji.../
Patriarch mwanangu ebu punguza hisabati, umefanya mpaka moyo wa ledada usiwe smart.../View attachment 1856636
Hiyo kitu iache tuu! Namquote Sir Walter lewinKitu phyz.
I love it yaani(in Lembebez voice)
🤩🙏🏾Weuweee 🔥😘
Ndio Boss karibu kwa huduma za plumbingPlumber
Ipo siku nitakuita, unitembelee kwa prime ministerNdio Boss karibu kwa huduma za plumbing
Karibu kwa huduma ya kufungiwa mfumo wa maji majumbani bossSawa plumber.😂
Dodoma hapo kilimani sawa afisa 😊🙏Ipo siku nitakuita, unitembelee kwa prime minister
Hope imenisoma p...mDodoma hapo kilimani sawa afisa [emoji4][emoji120]
Nime ku PM mtaalamu...Hope imenisoma p...m