Tunadanga internationally lazima uwe multi lingual Kijana,Vos comprenez folie?ushakuwa mzungu tena๐๐๐๐๐๐wee njaaa Kali tuu.mdangaji mmoja wee
Naiona KOJ kwa mbaliKaribuni kiwanja.View attachment 2858321
Ship Officer, Container VesselHahaha captain zulu au captain nani....?
Wakifika baadhi nitawasalimia,hongera sana kwa kuangalia itabidi utafute namna uweze kuishi hata 1 week upate experience ya maisha yao kidogo.
View attachment 2858410
Uta feel vipi when the vessel finally touches down on home turf kwa mara ya kwanza na ukiwa wewe ndio unaongoza,Mr seaman?Ship Officer, Container Vessel
hii dua yako ni wengi aiseeUkiona mwanaume anaparamia watu ambao hawana time nae,anatukanatukana na makasiriko ya bila sababu,tatizo kuu huwa ni njaa na kufeli mipango.....pole lkn jaribu kupambana 2024 Mola akupe riziki uache kuchukia watu bila sababu....Sorry I just can't help boy
Kwa kweli,nikuwaombea tu,Mtu anakupa matusi ya nguoni Hadi unabaki kushangaa huyu hanijui,ila anakumalizia hasira zake.hii dua yako ni wengi aisee
si umuambie ukweli tu kuwa ni magufuri๐๐....wanamsingizia tu mama wa watuHuo ndio ukweli,hukupata riziki mwaka huu,Maana naona unatukasirikia tu ma matusi ya nguoni bila sababu,....Mimi sijakusabishia ugumu wa maisha unaopitia ndugu yangu unanionea buree
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃYaani labda atakusikia hapo atalifanyia kazi,Mimi hataki kusikia chochote kutoka kwangu ni mitusi tu bampa to bampa,poor himsi umuambie ukweli tu kuwa ni magufuri๐๐....wanamsingizia tu mama wa watu
Yeah [emoji24][emoji24][emoji24]Oya ule wa juzi kati umefungiwa tena?
Unakuwa na furaha isiyoelezeka, unatamani wadau na jamaa wote waje wakuone ukiingiaUta feel vipi when the vessel finally touches down on home turf kwa mara ya kwanza na ukiwa wewe ndio unaongoza,Mr seaman?