Hayachukui tym yanafungwaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kaka Kwa kutuletea machimbo mapya uko vizuri
Bado hujasemaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu uzi utaharibika siyo muda yatajaa yale matoto ya hovyo yanayopenda kuitana sijui cuzzo, my wiii halafu hayatumi chochote zaidi zaidi ya kujadili maisha yao binafsi 24/7/365. Yamevuruga zile nyuzi za Selfika, Umevaa nini zimekuwa kama kijiwe cha kahawa. Hovyo kabisa....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walkden sibdili [emoji16]
Mjukuu cocastic View attachment 2858246
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Selfika # 3? [emoji16][emoji16][emoji16]
Good luck [emoji122]
Happy new year mjukuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babuu afu.una case ujue? Wee jizine data tyuuh.
Mara MOJA MOJA [emoji3]Unataka urudi kwenye enzi zako za kupaa usiku?
Usiseme kwa sauti kaka[emoji3]Selfika # 3? [emoji16][emoji16][emoji16]
Good luck [emoji122]
[emoji322]MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA UKIPATA KIBALI CHA KUANZA MWAKA 2024
1.Hakikisha unazaliwa upya 2024.[emoji123]
2.Acha kuishi kwa mazoea.[emoji123]
3.Usiishi na kumbukumbu za waliokukosea 2023[emoji123]
4.Usiishi kwa kutegemea miujiza fanya kazi.[emoji123]
5.Usiogope kuchekwa unapojenga misingi ya kesho yako.[emoji123]
6.Liishi neno la Mungu na ongeza mahusiano na Mungu.[emoji123]
7.Tambua hakuna anayeweza kuyabadilisha maisha yako zaidi ya Mungu na wewe mwenyewe.[emoji123]
8.Jifunze kutoa Sadaka kamili inayofanana na ulivyobarikiwa,hii ndiyo njia pekee ya kuongeza baraka zako.[emoji123]
9.Ongeza muda wa Ibada kati yako na Mungu .[emoji123]
10.Using'ang'anie kuishi na watu ambao Mungu anajitahidi kukutenganisha nao.[emoji123]
11.Jitahidi uyaguse maisha ya wengine kwa wema. [emoji123]
12.Linda sana moyo wako kuliko vyote ulindavyo.[emoji123]
13.Jiandae na mabadiliko yoyote yanayoweza kuja/kutokea kwako,maana usipokubali kubadilika mwenyewe yatakubadilisha yenyewe utake usitake.[emoji123]
14.Unapoweka malengo yako ya kimwili usisahau kujiwekea malengo yako ya kiroho.Usiishi kwa hasara kwa Mungu.Nk[emoji123]
Nakutakia kila la kheri 2024 [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Mungu anabaraka na wewe jaribu kuipokeaView attachment 2858987
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah..!Unakuwa na furaha isiyoelezeka, unatamani wadau na jamaa wote waje wakuone ukiingia
Nyie wote mna njaa tu wewe na Joannah ndio maana mnabishana kama hamna njaa nitumieni vocha ya 5000 tu niaminiπππππ. Heri ya mwaka mpya kwenu, hili bifu tumeliacha na kukizika rasmi mwaka jana.cool down mtoto inaonekana njaa inakutesa sana kiasi chakuhisi kilamtu nikama wewe.
Mbona ndugu zako akina Tumaini Msowoya wana akili wewe una kichwa cha kusukia tu.Unateseka ukiwa wapi my wangu?
Hahaaaaaa wanaboa sana na kwenye kila nyuzi wataitana na muanza upuuzi wao. Kuna mwamba mmoja aliyeleft group anaitwa mshamba_hachekwi ndio anawaitaga kwenye nyuzi hata ule wa Ally Dangote walivamia na kuanza kuitana my wanguππππππ π€£π. Kaangalie kwenye uzi wa vita vya HAMAS na Israel wapo na wanaendeleza chats zao.Huu uzi utaharibika siyo muda yatajaa yale matoto ya hovyo yanayopenda kuitana sijui cuzzo, my wiii halafu hayatumi chochote zaidi zaidi ya kujadili maisha yao binafsi 24/7/365. Yamevuruga zile nyuzi za Selfika, Umevaa nini zimekuwa kama kijiwe cha kahawa. Hovyo kabisa....
Happy new year,huyo penseli msumbufu sana,njaa ikimuumua anahamishia makasiriko kwanguNyie wote mna njaa tu wewe na Joannah ndio maana mnabishana kama hamna njaa nitumieni vocha ya 5000 tu niaminiπππππ. Heri ya mwaka mpya kwenu, hili bifu tumeliacha na kukizika rasmi mwaka jana.
Gari ya ndoto yangu hii pamoja na Nissan Safari.
Hahaaaaa, acha kumchokoza mwanafunzi wa JF mzee wa kutinda nyusi mshamba_hachekwiHahaaaaaa wanaboa sana na kwenye kila nyuzi wataitana na muanza upuuzi wao. Kuna mwamba mmoja aliyeleft group anaitwa mshamba_hachekwi ndio anawaitaga kwenye nyuzi hata ule wa Ally Dangote walivamia na kuanza kuitana my wanguππππππ π€£π. Kaangalie kwenye uzi wa vita vya HAMAS na Israel wapo na wanaendeleza chats zao.
Mwaka mpya na mambo mapyaMAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA UKIPATA KIBALI CHA KUANZA MWAKA 2024
1.Hakikisha unazaliwa upya 2024.[emoji123]
2.Acha kuishi kwa mazoea.[emoji123]
3.Usiishi na kumbukumbu za waliokukosea 2023[emoji123]
4.Usiishi kwa kutegemea miujiza fanya kazi.[emoji123]
5.Usiogope kuchekwa unapojenga misingi ya kesho yako.[emoji123]
6.Liishi neno la Mungu na ongeza mahusiano na Mungu.[emoji123]
7.Tambua hakuna anayeweza kuyabadilisha maisha yako zaidi ya Mungu na wewe mwenyewe.[emoji123]
8.Jifunze kutoa Sadaka kamili inayofanana na ulivyobarikiwa,hii ndiyo njia pekee ya kuongeza baraka zako.[emoji123]
9.Ongeza muda wa Ibada kati yako na Mungu .[emoji123]
10.Using'ang'anie kuishi na watu ambao Mungu anajitahidi kukutenganisha nao.[emoji123]
11.Jitahidi uyaguse maisha ya wengine kwa wema. [emoji123]
12.Linda sana moyo wako kuliko vyote ulindavyo.[emoji123]
13.Jiandae na mabadiliko yoyote yanayoweza kuja/kutokea kwako,maana usipokubali kubadilika mwenyewe yatakubadilisha yenyewe utake usitake.[emoji123]
14.Unapoweka malengo yako ya kimwili usisahau kujiwekea malengo yako ya kiroho.Usiishi kwa hasara kwa Mungu.Nk[emoji123]
Nakutakia kila la kheri 2024 [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Mungu anabaraka na wewe jaribu kuipokeaView attachment 2858987
Sent using Jamii Forums mobile app