Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
habari wana jf,
naomba niwape pole kwa majukumu ya kulijenga taifa!!!!!!
nina imani kwama mu wa afya!!
ama baada ya salamu,
Lngo kuu hasa la kuleta uzi huu mbele zenu ni kuangazia wasanii wetu hasa wa muziki. kama kichwa cha habari kilivyojielelza, show nyingi sana wanazofanya huko nje ya nchi, achilia mbali kenya, uganda na mataifa mzunguko hapa Tz, naongelea huko ULAYA, bara ASIA na hata AMERICA.
--mbona show zao hazina mwamko wa wahudhuriaji? namaanisha mashabiki wa hawa wasanii wetu wanaoenda kufanya music shows nje ni akina nani?
-- mbona majukwaa wanayoyatumia si yale yenye viwango vya juu kama yatumikayo kwa wasanii kama chriss brown, michael jackson ama puff daddy?
-- hivi hasa soko la muziki etu likoje huko nje?
kwa mfano,
nimeangalia show ya diamond iliyofanyika malaysia kupitia youtube, nilitegemea kuona watu wengi saaana katika show hiyo, lakini mwisho wa siku, nimeona tu ukumbi mdooogo tu sijui wa watu wasiozidi mia moja, show haikua ya moto kama ilivyopigiwa promo na heaven on desert!!!
sasa je, huko china anakoelekea kuna mashabiki wa diamond ama anaenda kuburudisha 'watanzania waishio china'
hivi shilole nae si alinyonywa matiti alipoenda state? au aliishia tu kutembea na taulo kuelekea supermarket!!? na humo ndani ya SM kulitokea nini?
naomba tu jamani nito ushauri kiasi,
kwa maono tu ya haraka haraka, wasanii wengi wa TANZANIA hawana elimu!! from bongo flavour to bongo movie to bongo everything!!! wasanii kwanza wangeliangalia hili swala la elimu halafu ndio waendelee na muziki!!!!
nawasilisha!!
mimi minofu!!
naomba niwape pole kwa majukumu ya kulijenga taifa!!!!!!
nina imani kwama mu wa afya!!
ama baada ya salamu,
Lngo kuu hasa la kuleta uzi huu mbele zenu ni kuangazia wasanii wetu hasa wa muziki. kama kichwa cha habari kilivyojielelza, show nyingi sana wanazofanya huko nje ya nchi, achilia mbali kenya, uganda na mataifa mzunguko hapa Tz, naongelea huko ULAYA, bara ASIA na hata AMERICA.
--mbona show zao hazina mwamko wa wahudhuriaji? namaanisha mashabiki wa hawa wasanii wetu wanaoenda kufanya music shows nje ni akina nani?
-- mbona majukwaa wanayoyatumia si yale yenye viwango vya juu kama yatumikayo kwa wasanii kama chriss brown, michael jackson ama puff daddy?
-- hivi hasa soko la muziki etu likoje huko nje?
kwa mfano,
nimeangalia show ya diamond iliyofanyika malaysia kupitia youtube, nilitegemea kuona watu wengi saaana katika show hiyo, lakini mwisho wa siku, nimeona tu ukumbi mdooogo tu sijui wa watu wasiozidi mia moja, show haikua ya moto kama ilivyopigiwa promo na heaven on desert!!!
sasa je, huko china anakoelekea kuna mashabiki wa diamond ama anaenda kuburudisha 'watanzania waishio china'
hivi shilole nae si alinyonywa matiti alipoenda state? au aliishia tu kutembea na taulo kuelekea supermarket!!? na humo ndani ya SM kulitokea nini?
naomba tu jamani nito ushauri kiasi,
kwa maono tu ya haraka haraka, wasanii wengi wa TANZANIA hawana elimu!! from bongo flavour to bongo movie to bongo everything!!! wasanii kwanza wangeliangalia hili swala la elimu halafu ndio waendelee na muziki!!!!
nawasilisha!!
mimi minofu!!
Last edited by a moderator: