Show za ughaibuni hazina mashabiki kwa wasanii wa bongo!!!!

Show za ughaibuni hazina mashabiki kwa wasanii wa bongo!!!!

niliiona hii show mpaka nikashangaa!!

sasa we Heaven on earth unasema bila milioni 15 huyu jamaa hafanyi show nje,

sasa naomba uueleze umma..

diamond gharama za jumla anatumia/ama anato wapi? je ni kutoka ndani ya hiyo mil 15?

crew yooote uliyoorodhesha inalipwaje? je yeye mwenyewe anabaki na net income kiasi gani?
heaven on desert njoo ueleze hapa!! la sivyo sitaona faida ya diamond kwenda guangzhou!

nimesema!

mi nahusikaje hapa........
 
Ngoja nikutafutie user name mpya nzuri, hii ya sasa imeshachafuliwa na small house ya domo.

JF ya sasa ina watu wachache makini wanaosoma nukta kwa nukta na kuweza kutofautisha vitu.

Wengi hawajasoma zile enzi zetu za Thomson na Thompson.

Nitashukuru Matola...nahisi nahitaji kuibadilisha tu manake.......

Hizo enzi za Thomson na Thompson wangekuwa wanajikanyaga sana.....
 
niliiona hii show mpaka nikashangaa!!

sasa we Heaven on earth unasema bila milioni 15 huyu jamaa hafanyi show nje,

sasa naomba uueleze umma..

diamond gharama za jumla anatumia/ama anato wapi? je ni kutoka ndani ya hiyo mil 15?

crew yooote uliyoorodhesha inalipwaje? je yeye mwenyewe anabaki na net income kiasi gani?
heaven on desert njoo ueleze hapa!! la sivyo sitaona faida ya diamond kwenda guangzhou!

nimesema!
nimeshangaa hapo juu anasema m15 kwa show za nje nimeshindwa kumuelewa hii m15 ndo pamoja na crew yake yote, gharama za usafiri, malazi na chakula? Aisee anabaki na pesa gani huyu mkoni mbona mnataka kutuaminisha juu ya hizi fununu za kubeba unga
 
Last edited by a moderator:
nimeshangaa hapo juu anasema m15 kwa show za nje nimeshindwa kumuelewa hii m15 ndo pamoja na crew yake yote, gharama za usafiri, malazi na chakula? Aisee anabaki na pesa gani huyu mkoni mbona mnataka kutuaminisha juu ya hizi fununu za kubeba unga

Labda tu kwa kulisaidia hilo jinga ngoja tufanye ukokotoaji mdogo tu.

Ticket ya ndege kwa nchi za Asia return ticken ni around $1800 economy class.

Sasa huyu kibaraka wa Domo atueleze hapa Diamond anasafiri na jopo la watu wangapi? Kwa kila mtu anayeongezeka add $ 1800 zingine halafu pata picha mwenyewe.

Narudia tena kuwahusia Matonya aliponea kwenye Tundu la sindano, na huyu Domo kama anadanganywa na hawa wenye mtandao mkubwa wa kuuza madawa basi siku yake yaja.

Hili kuweka kumbukumbu sawa msiseme hatujawahi kuonya, China mainland kesi ya unga ni kunyongwa tu wala hawana mbadala na Guazhoung ndio kituo cha unga. Washukuru waliokamatiwa Hong Kong kule ndio hawanyongi unapigwa miaka yako 7 mpaka 20 na faini juu.
 
Labda tu kwa kulisaidia hilo jinga ngoja tufanye ukokotoaji mdogo tu.

Ticket ya ndege kwa nchi za Asia return ticken ni around $1800 economy class.

Sasa huyu kibaraka wa Domo atueleze hapa Diamond anasafiri na jopo la watu wangapi? Kwa kila mtu anayeongezeka add $ 1800 zingine halafu pata picha mwenyewe.

Narudia tena kuwahusia Matonya aliponea kwenye Tundu la sindano, na huyu Domo kama anadanganywa na hawa wenye mtandao mkubwa wa kuuza madawa basi siku yake yaja.

Hili kuweka kumbukumbu sawa msiseme hatujawahi kuonya China mainland kesi ya unga ni kunyongwa tu wala hawana mbadala na Guazhoung ndio kituo cha unga. Washukuru waliokamatiwa Hong Kong kule ndio hawanyongi unapigwa miaka yako 7 mpaka 20 na faini juu.
nadhani hapo kwenye red wamekusikia
 
nadhani hapo kwenye red wamekusikia

Una ukakika anafaanya biashara ya unga??
then ieleweke diamond aendapo kwenye show yoyote kama atakuwa na team yake..yan dancerz,dj wapiga picha na msaidiz.jua ni makubaliano kati yke na muandaji.
atalipwa dau lake,na gharama zote za chakula na kulala ni juu ya waandaaji.
millions atakazolipwa hazikatwi kitu
atajilipa yeye pamoja na team yake.
all in all,show za Diamond zinalipa ndio mana waandaaji huwa wako radhi wajilipue kutoa hizo zote il tu ampate kwenye onyesho lake.
narudia tena kwa msisitizo.
POPOTE PALE DUNIAN NJE YA TZ.
BILA MILLION 15 HUJAMCHUKUA.
na maombi yapo kila uchwao ndio maana anayo jeuri ya kujiwekea dau kubwa
 
Wacha uongo we mtu.
kwanza dau la Diamond ni million 15 halipungui kama bei ya super market.
so ingekuwa watu hawajai ama ni kwenye club kama unavyopotosha nani angekubali .
kula hasara ya mihela yote hiyo wakati anajua haitarudi?
sh mil 15 ni dola 9000 hata mie ngekuwa ulaya kwa kazi yangu hii hii ngeweza mwita aje atumbuize machalii ghetto usibabaishwe na haya madafu anayolipwa boss wako! Kumbe jamaa is cheap! Sishangai kama anafanya shows sebuleni kwa watu!
 
uwa wanaalikwa ktk birthdays!!! Wana perform sebuleni..
 
kuna mmoja alitangaza sana anaenda kupiga show majuu na bwembe kibao,kafika hata hela ya hoteli hana kaishia kulala ubalozini na mchango juu ili arudi,na alivyo na jina huwezi amini
 
Una ukakika anafaanya biashara ya unga??
then ieleweke diamond aendapo kwenye show yoyote kama atakuwa na team yake..yan dancerz,dj wapiga picha na msaidiz.jua ni makubaliano kati yke na muandaji.
atalipwa dau lake,na gharama zote za chakula na kulala ni juu ya waandaaji.
millions atakazolipwa hazikatwi kitu
atajilipa yeye pamoja na team yake.
all in all,show za Diamond zinalipa ndio mana waandaaji huwa wako radhi wajilipue kutoa hizo zote il tu ampate kwenye onyesho lake.
narudia tena kwa msisitizo.
POPOTE PALE DUNIAN NJE YA TZ.
BILA MILLION 15 HUJAMCHUKUA.
na maombi yapo kila uchwao ndio maana anayo jeuri ya kujiwekea dau kubwa
nani kasema anafanya biashara ya unga? Dogo vipi
 
kuna mmoja alitangaza sana anaenda kupiga show majuu na bwembe kibao,kafika hata hela ya hoteli hana kaishia kulala ubalozini na mchango juu ili arudi,na alivyo na jina huwezi amini

nani huyo hebu ninong'oneze!
 
Nitashukuru Matola...nahisi nahitaji kuibadilisha tu manake.......

Hizo enzi za Thomson na Thompson wangekuwa wanajikanyaga sana.....

Na mwingine nimemuona leo Earth on heaven nikachoka.

Kwa usumbufu ninaoona unaupata hapa jukwaani, mimi ningekuwa wewe ningekuwa nimeshaibadilisha siku nyingi sana.

Inaonekana wewe ni mvumilivu sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom