Show za ughaibuni hazina mashabiki kwa wasanii wa bongo!!!!

Show za ughaibuni hazina mashabiki kwa wasanii wa bongo!!!!

Kati ya watu wanaofanya kazi kwenye mazngra magumu ni huyu msemaji wa domo!
 
kuna mmoja alitangaza sana anaenda kupiga show majuu na bwembe kibao,kafika hata hela ya hoteli hana kaishia kulala ubalozini na mchango juu ili arudi,na alivyo na jina huwezi amini

kaka Excellent usipo mtaja mimi na logoff...
 
Last edited by a moderator:
Hawa wasanii wetu hawanipi shida kabisa, kwa kuongeza 000 ni wenyewe, utakuta anasema ameenda Dubai kafanya shopping ya dollar 20,000. nguo ziko ndani ya bag moja, wanadhani wa TZ wote hawajafika huko, au ananunua gari anadai kanunua 35M wakati tunajua thamani ya gari, kwahiyo hata kwenye show wakilipwa 1.5M üsishangae wakaongeza 00

Body without head
 
msilaumu jamani.watu wanapiga boksi,unabana matumizi unafanya yako tz.unaambiwa fainali uzeeni,nguvu za kujituma zipo,unajituma,mambo ya shoo kwa masharobaro
 
Na mwingine nimemuona leo Earth on heaven nikachoka.

Kwa usumbufu ninaoona unaupata hapa jukwaani, mimi ningekuwa wewe ningekuwa nimeshaibadilisha siku nyingi sana.

Inaonekana wewe ni mvumilivu sana.


Sumu nini kimekuchosha? mimi kuitwa hilo jina au? mbona mwenyewe amekaa kimya...halafu hujajua source ya hilo jina..... muulize Heaven on Earth atakuambia.

Hakuna ugomvi
 
Watu wakija ulaya wanalala mzungu wa nne na wengine walishalala sebleni......chezeya shoo za ulaya wewe! Ni Wasanii wakubwa na wenye majina tzz
 
Kuna show zingine kama Michael Jackson vile.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom