measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,414
Pika mie mgeni wako...
I have to kwa kweli wali
Nitaweka kwa rice cooker lol wa sufuria utaungua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pika mie mgeni wako...
Exactly ! hivo ivo.Poa habibty ntakuekea recipe yake....mie naita pilau ya nyanya hiyo.....au nafananiza lol?
I have to kwa kweli wali
Nitaweka kwa rice cooker lol wa sufuria utaungua
Exactly ! hivo ivo.
Kwanini uungue weka moto mdogo mdogo.....
Mwenzenu sijui ushamba umenizidi sipendi kupikia rice cooker..
Asante kwa pishi bi dada, kuna tatizo kama mchele hautapikwa kidogo kwanza? Hatua ya 2, shrimps wanakaangwa kwenye mafuta? Deep fry au mafuta kidogo yafaa?
Acha hizo sie wavivu ndo twatumia rice cooker
Ahhhahahahhaha sio uvive shosti mama yeye anazo mbili moja apikia mchuzi lol huwa nacheka nkimuona na upishi wake mwenyewe...
ha hahaaaaaaa! as long msosi unatoka poa i really dont care will do weekend, msaada mkubwa hapa aisee we learn mambo kibao
Yeah yanini kujipa shida wakati raha zipo...
Hapo sasa, na my chenese fried beef imetoka chichaaaaa!! Sooo nice
we dada kwenye mapishi unavyonikoshaga...... naweza siku nikajikuta nimeKUPM bahati mbaya
Hahahahahaaha ukute pm imetiwa kufuli lol....
ha ha ha ha, nina uzoefu wa kutosha wa kuunlock mpaka solex, hata kufuli zile za umeme huwa hazinisumbui kama nina nia..........ha ha ha
Ahhahahaaha sawa...