never-ending battle
Senior Member
- Jun 22, 2024
- 168
- 123
Tupe site ya kuzinunua hizo simu kama ni China au Dubei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizi unachukua kwa unit, inategemea soko la china au dubai.. kuna simu kwa piece moja unapata faida hadi laki na nusu na kuendelea kama flagship za iPhone.. kwa hizo A15 au A14 inaweza chezea kuanzia 40-60k. Sina zuoefu sana nilitaka anza fanya hiyo biashara nilivyopata hali ya soko nikarudi nyuma.. ila kama una msuli deal na iPhone tu lazima uwe tajiriMkuu, mfano samsung A15, A14 faida inaweza kuwa ngapi kwa piece
Abee Kabu..
Ahaaaa kumbe hata hizo 40-60 sio mbaya, hapo ukiuza simu 2 tu kwa siku upo mbalihizi unachukua kwa unit, inategemea soko la china au dubai.. kuna simu kwa piece moja unapata faida hadi laki na nusu na kuendelea kama flagship za iPhone.. kwa hizo A15 au A14 inaweza chezea kuanzia 40-60k. Sina zuoefu sana nilitaka anza fanya hiyo biashara nilivyopata hali ya soko nikarudi nyuma.. ila kama una msuli deal na iPhone tu lazima uwe tajiri
sio rahisi napo kuziuza , tayari mmekuwa wengi, mwenzako atuza apate hata 20k au 15k ili mzigo utoke maisha yaende..Ahaaaa kumbe hata hizo 40-60 sio mbaya, hapo ukiuza simu 2 tu kwa siku upo mbali
Simu kama zile za kariakoo?Ohoooo......
Kama haujaaambiwa acha mimi nikuambie......
Kama umepata location nzuri
Hii biashara unatajirika mapema tu.wabongo amkeni
Bas hio ndio challenge.sio rahisi napo kuziuza , tayari mmekuwa wengi, mwenzako atuza apate hata 20k au 15k ili mzigo utoke maisha yaende..
Hardware za nini ?Bas hio ndio challenge.
Hivi hardware bado inalipa ?
Nimebubujikwa na machozi ya furaha. Kuona mtanzania mwenzangu anatoa madini kama haya
Hardware uweke vifaa vya maji na umemeHardware za nini ?
Kama una mzigo wa maana tegeshea iPhone upige hela..
location mkuu ya biashara hizo. Ila zipo fresh na zinatoka vizuri sanaHardware uweke vifaa vya maji na umeme
ChaiOhoooo......
Kama haujaaambiwa acha mimi nikuambie......
Kama umepata location nzuri
Hii biashara unatajirika mapema tu.wabongo amkeni
Mkuu changamkia fursa.
Ngoja, nipambane kwanza upande wa piliMkuu changamkia fursa.
Kwa kifupi electronics devices zina pesa kwa sababu wabongo wengi Bado washamba WA ivyo vitu yaani unauza different prices kwa Kila mtejaOhoooo......
Kama haujaaambiwa acha mimi nikuambie......
Kama umepata location nzuri
Hii biashara unatajirika mapema tu.wabongo amkeni
Upo sahihi watu WA mwanzo walipiga pesaBiashara ya simu ilikuwa zamani, sasa hivi imeingiliwa mkuu.. walioshtuka mapema ndio walitajirika chap
Hakuna biaahara isio kuwa na Faida, kuna watu wana fanya biasbaea ya kunyonya vinyesi kwenye vyoo vya watu na wao wanapata Faida, kaaminisheni wajinga kwamba biashara yenye faida ni ya kuuza simu.Pia mnataka wote watafute frame wauze simu? Taifa la wajinga sana hilihaha! ukiisha kuwa muuza mchicha mashuhuri, nitakuwa nachukua mzigo kwako kupeleka china ...
Simu kweli zinafaida ila soko limevamiwa, faida sio kama zamani, au ndio uwe na mzigo mkubwa usubiri iPhone 16 zitoke utajirike hadi uitwe freemasons..