BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Ni nini maana ya faida? na kwani waranya biasbara wengine hawapati faida? kuna mtu anaweza kukuelezea Faida kwenye kilimo cha machungwa ukashangaa, mwingine atakuja na story za faida kwenye mgahawa wake wa chakula ukashangaa sana.Kwa kifupi electronics devices zina pesa kwa sababu wabongo wengi Bado washamba WA ivyo vitu yaani unauza different prices kwa Kila mteja