Shughuli Gani inaweza nipa faida ya 10Pct net profit Kila mwezi kwa mtahi WA million 20 hapa Dar au kwingineko?

Shughuli Gani inaweza nipa faida ya 10Pct net profit Kila mwezi kwa mtahi WA million 20 hapa Dar au kwingineko?

Biashara anayoitaka haipo ya kudouble mtaji kila mwaka labda crypto.
Mtaji unavyozidi kuwa mkubwa na roi inapungua.
Mwenye mtaji wa 10000 kwa mwaka anaweza fikisha 100000 ama zaidi, ila mtaji ukiwa mkubwa zaidi roi inapungua sababu operations cost inaongezeka na competition
 
Mkuu Faida ya 2 Milion kwa Mwezi unaweza kuipata ila nilazima uwe mpiganaji kweli kweli.Na Uwe Tofauti kabisa na wengine.Sasa swala la ni shghuli gani hapo Inategemea na wewe unataka kuanza kutengeneza Pesa Baada ya Muda Gani?Na Hii 20 M Umeipataje...Ila kwa Biashara kwa 20M zipo Biashara ambazo watu wanapiga hadi 50% Profit ila lazima Upambane kweli kweli.
 
Bashara inayotoa zaidi 10% inakuwa higher risk kupoteza mtaji. Wataalamu wanasema hivyo
Mkuu Faida ya 2 Milion kwa Mwezi unaweza kuipata ila nilazima uwe mpiganaji kweli kweli.Na Uwe Tofauti kabisa na wengine.Sasa swala la ni shghuli gani hapo Inategemea na wewe unataka kuanza kutengeneza Pesa Baada ya Muda Gani?Na Hii 20 M Umeipataje...Ila kwa Biashara kwa 20M zipo Biashara ambazo watu wanapiga hadi 50% Profit ila lazima Upambane kweli kweli.
 
Biashara anayoitaka haipo ya kudouble mtaji kila mwaka labda crypto.
Mtaji unavyozidi kuwa mkubwa na roi inapungua.
Mwenye mtaji wa 10000 kwa mwaka anaweza fikisha 100000 ama zaidi, ila mtaji ukiwa mkubwa zaidi roi inapungua sababu operations cost inaongezeka na competition
Mkuu,
Hapo kwenye roi (ROI) wadau ambao hawajasoma mambo ya Finance unawaacha kapa (RETURN ON INVESTMENT) 😊😊😊 Hawata ijua mkuu wafafanulie...
 
Mkuu Faida ya 2 Milion kwa Mwezi unaweza kuipata ila nilazima uwe mpiganaji kweli kweli.Na Uwe Tofauti kabisa na wengine.Sasa swala la ni shghuli gani hapo Inategemea na wewe unataka kuanza kutengeneza Pesa Baada ya Muda Gani?Na Hii 20 M Umeipataje...Ila kwa Biashara kwa 20M zipo Biashara ambazo watu wanapiga hadi 50% Profit ila lazima Upambane kweli kweli.
Mkuu unaweza kushare uzoefu au mifano ya bishara unayosema
 
Back
Top Bottom