Shughuli Gani inaweza nipa faida ya 10Pct net profit Kila mwezi kwa mtahi WA million 20 hapa Dar au kwingineko?

Shughuli Gani inaweza nipa faida ya 10Pct net profit Kila mwezi kwa mtahi WA million 20 hapa Dar au kwingineko?

Kama huna shughuli nyingine yeyote nikimaanisha unaweza simamia mwenyewe 100% .Fanya biashara ya kununua magari number d yasiyomaliza mafuta kama ist.vits.paso .unayakarabati unaenda uza mkoani .hukosi mil 2 Hadi 5 kila mwezi.
 
Bro, lete 10million tuagize viazi mkoani (vya chipsi) mimi nakupa milioni 1.5 kila mwezi kama faida/gawio. Mtaji wetu upo pale pale.
Kuandikishana na kutambuana kihalali yaani kisheria kabisa bila kona kona.
 
Bro, lete 10million tuagize viazi mkoani (vya chipsi) mimi nakupa milioni 1.5 kila mwezi kama faida/gawio. Mtaji wetu upo pale pale.
Kuandikishana na kutambuana kihalali yaani kisheria kabisa bila kona kona.
Nimescreenshot
 
Bro, lete 10million tuagize viazi mkoani (vya chipsi) mimi nakupa milioni 1.5 kila mwezi kama faida/gawio. Mtaji wetu upo pale pale.
Kuandikishana na kutambuana kihalali yaani kisheria kabisa bila kona kona.
Mkuu mtafute huyu kuna mwanga hapa.ila aweke dhamana ya Mali isiyohamishika yenye thamani ya 15 mil na mikataba isainiwe kwa mwanasheria mkewe ahusike
 
Ukitaka mali utaipata shamban, kilimo ni kila kitu...piga research ya kutosha mkuu..ingia shamba
Nilichoandika nina uzoefu nacho. Mimi silimi viazi
Mkuu mtafute huyu kuna mwanga hapa.ila aweke dhamana ya Mali isiyohamishika yenye thamani ya 15 mil na mikataba isainiwe kwa mwanasheria mkewe ahusike
Hahaha kama sina mke? Mbona uko local sana? Kuweka dhamana jambo jema, mambo ya mke sidhani kama hapo ni mahala pake.
 
Nilichoandika nina uzoefu nacho. Mimi silimi viazi

Hahaha kama sina mke? Mbona uko local sana? Kuweka dhamana jambo jema, mambo ya mke sidhani kama hapo ni mahala pake.
Awe makini kama ushazama tuita matajiri local
 
Sio jambo jema , NI LAZIMA.
Masikini banah!
Hapo hata 100 huna.
Mnapenda biashara zisizo na risk halafu mnatarajia faida kubwa, nani kakwambia?
Kaweke bank au UTT AMIS hiyo milioni 10 yako, upate milion 1.5 kwa mwezi zero risk uone kama watakupa.
Kama naweka dhamana, huo ni mkopo, siwezi kutoa riba ya 15% kila mwezi ntakuwa namfaidisha yeye wakati amekaa nyumbani kwake.
By the way, nina uwezo wa kwenda bank nikakopa mwenyewe 10 milion na riba haifiki huko.

Mimi nimemwambia tufanye biashara, atoe capital, natoa manpower na usimamizi. Aje ninapofanya biashara, apafahamu ninapoishi, ajue utambulisho wangu wote ajiridhishe kila kitu aweke pesa.

Unaposema LAZIMA kwani nimeomba mkopo? Kiwanja changu kimoja Kinyerezi kinanipa mkopo wa milion 10 bila shida yoyote. Why those hustles?
 
Masikini banah!
Hapo hata 100 huna.
Mnapenda biashara zisizo na risk halafu mnatarajia faida kubwa, nani kakwambia?
Kaweke bank au UTT AMIS hiyo milioni 10 yako, upate milion 1.5 kwa mwezi zero risk uone kama watakupa.
Kama naweka dhamana, huo ni mkopo, siwezi kutoa riba ya 15% kila mwezi ntakuwa namfaidisha yeye wakati amekaa nyumbani kwake.
By the way, nina uwezo wa kwenda bank nikakopa mwenyewe 10 milion na riba haifiki huko.

Mimi nimemwambia tufanye biashara, atoe capital, natoa manpower na usimamizi. Aje ninapofanya biashara, apafahamu ninapoishi, ajue utambulisho wangu wote ajiridhishe kila kitu aweke pesa.

Unaposema LAZIMA kwani nimeomba mkopo? Kiwanja changu kimoja Kinyerezi kinanipa mkopo wa milion 10 bila shida yoyote. Why those hustles?
Then kaweke kiwanja hakuna anaweza wekeza kwenye Ur intergrity wakati kakujua barabarani .kwa maelezo yako mtaji unaweza ukopa ukapata faida yote ww.huyu alikuwa anatafuna wazo la biashara sio patner .inamaana Huo ujuzi wa kuzungusha hela unaweza pata mil 1.5 kwa mwezi angeupata kijana mwenye kiwanja kinyerez cha mil 15 .asingesita kuweka dhamana kwani kwake ni ajira .
 
Then kaweke kiwanja hakuna anaweza wekeza kwenye Ur intergrity wakati kakujua barabarani .kwa maelezo yako mtaji unaweza ukopa ukapata faida yote ww.huyu alikuwa anatafuna wazo la biashara sio patner .inamaana Huo ujuzi wa kuzungusha hela unaweza pata mil 1.5 kwa mwezi angeupata kijana mwenye kiwanja kinyerez cha mil 15 .asingesita kuweka dhamana kwani kwake ni ajira .
Acha ubishi basi, si aje naye tufanye wote. Wazo atalipata akikaa kwao?
Hiyo biashara sio ya mtu akuelekeze kwa maneno tu, nilipomwambia lete sikuwa na maana anipe mimi kama mimi. Aje ofisini na afanye kazi..........mi sina shida ya mtaji aisee!
 
Jamani huu Uzi ni wakushaulina na kupewa hints harafu mtu atajiongeza hakuna haja yakutukanana humu
 
Back
Top Bottom