Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Ulitaka msiba wa kinyesi ufanyike bila mwili wa marehemu?Wasaniii walioingia uwanjani wangeweza kufikisha ujumbe vizuri na kuleta shangwe hata bila kubeba jeneza, vitendo hivi kwa Karne hii hatupaswi kuvichekea tu maana vinatupa aibu site Tena kufanywa na klabu kubwa hapa Afrika Kama Simba, ambayo unafuatilia na wapenzi wa kandanda kila pembe ya Afrika