Shughuli za kuandaa katiba ya EAC zaanza huku Tanzania ikiendelea kununa

Shughuli za kuandaa katiba ya EAC zaanza huku Tanzania ikiendelea kununa

Umeelewa nilichokisema kweli au unabonyeza bonyeza kwenye simu bila kushirikisha ubongo ilmradi uonekane na wewe umesema kitu, nimesema sheria haziruhusu kuendelea bila nchi hata moja, kwa kifupi hata Burundi maskini na wavivu wenzenu wana uwezo wa kutukwamisha wakiamua kuzembea kama ninyi.
Pole sana nimesikia kibanda chako kimeungua pale sokoni
 
Yaani kwa hali hii unavyowadharau Burundi ndo utake EA community [emoji23][emoji23][emoji23]
Siwezi shirikisha ubongo kwa mkumbafu kama ww ambaye kazi yake ni kueneza chuki na ukabila mitandaoni.
Siku mkiwa na adabu kwa nchi zingine ndo mje mdai EA iuangane.
Au umenuna kukuambia kitunguu ulichopikiwa nacho githeri kimetoka Tanzania.

Siwadharau Burundi, ila nawasema kama walivyo, ni wavivu na maskini kama nyie, wao kainchi kadogo kama Rwanda lakini hiyo Rwanda imewaacha mbali sana, tatizo lao kubwa walijiingiza kuwafuata nyie mkawaelekeza na kuwapeleka kwenye umaskini zaidi.
Siku wakijitambua na kuanza kusimama wao kama wao, watabadlika na kuwa wachapa kazi kama Rwanda na Kenya.
 
Ratiba imeanza ya uandaaji wa katiba ya EAC itakayotoa muongozo jinsi gani huu muungano utakavyokua, ila bado kuna changamoto maana Tanzania ambayo ni mshirika wa muungano imenuna kupita maelezo, imegoma kutuma wataalam wake kuhusika kwenye vikao, kama ilivyo kwa Tanzania kununia kila kitu.

Tatizo sio ruhusa kutengeneza katiba bila mshirika hata mmoja, hivyo inabidi tukwame na kucheleweshwa.
-----------------------------

Uganda’s President Yoweri Museveni is expected to launch the East African Community constitution-making process in Kampala on August 19, setting the pace for the attainment of the bloc’s fourth and last integration pillar — political federation.
However, the region has decided to start with a political confederation. At the 20th Ordinary Summit in Arusha in February, the EAC heads of state asked President Museveni to oversee and provide political guidance to the legal experts tasked with the drafting of the Confederation Constitution.
The EAC in May 2017, adopted the Political Confederation as a transitional model ahead of the envisaged last pillar of integration.
The Confederation Constitution requires the EAC partner states to agree on areas to co-ordinate centrally, including trade and foreign policy, while other areas will be conducted by respective national governments.
Each EAC partner state nominated two constitution drafting experts and a draftsman, making a team of 18.
The constitution experts met for the first time in Arusha in September 2018, without their counterparts from Tanzania, to agree on terms of reference and a roadmap.

The committee has spent about a year consulting partner states ahead of the drafting of the constitution.
Tanzania’s failure to name its experts to the committee called to question the country’s commitment to the integration agenda, as the Treaty Establishing the EAC stipulates that the committee should not proceed without participation of one partner state.
Kila nchi inapaswa kuangallia maslahi mapana ya nchi kabla ya kujitumbukiza kwenye mambo mapya. Fundisho kubwa ambalo Tanzania ilipata ni lile la kupotea kwa EAC mwaka 1977. Hivyo basi isilaumiwe kwa ku-drag its feet kwenye mambo mapya hadi pale itakapojiridhisha kuwa maslahi ya nchi yetu yapo salama.
 
Narudia tena, siku mukiwacha kuwadharau nchi zingine hapa EA ikiwemo nchi zinazowalisha [emoji23][emoji23][emoji23] muje mudai EA community,
Huna kazi nyingine zaidi ya kueneza chuki online.
Siwadharau Burundi, ila nawasema kama walivyo, ni wavivu na maskini kama nyie, wao kainchi kadogo kama Rwanda lakini hiyo Rwanda imewaacha mbali sana, tatizo lao kubwa walijiingiza kuwafuata nyie mkawaelekeza na kuwapeleka kwenye umaskini zaidi.
Siku wakijitambua na kuanza kusimama wao kama wao, watabadlika na kuwa wachapa kazi kama Rwanda na Kenya.
 
Kwa nini muhangaike kubuni vitu vipya? Si mchukue tu katiba ya AU ndio muifanye katiba ya EAC with some few amendments ili kui customize?
 
Kila nchi inapaswa kuangallia maslahi mapana ya nchi kabla ya kujitumbukiza kwenye mambo mapya. Fundisho kubwa ambalo Tanzania ilipata ni lile la kupotea kwa EAC mwaka 1977. Hivyo basi isilaumiwe kwa ku-drag its feet kwenye mambo mapya hadi pale itakapojiridhisha kuwa maslahi ya nchi yetu yapo salama.

Hizi blah blah blah unazozisema hakuna anayezikataa wala kuzipinga, tatizo ni pale hamsemi wala kutoa tamko kwamba mpewe muda, muda wote mnasema mumekubali na mumejitolea ila mnakwepa vikao. Mnafaa kutoa tamko mseme bado hampo tayari na kwamba mpo kwenye vikao vyenu vya ndani ili kuwaza na kutathmini na kudadavua umuhimu wa kukaa vikao vya EAC.
 
Bora tubaki kama tulivokuwa hapo awali. Alafu hii 'political federation' ndio haifai kabisa, bora iwe ni muungano kwenye masuala ya biashara. Hizi nchi zingine zote ukanda huu zinaendeleza sera na siasa za kidikteta. Wakenya huwa hatuna hamu tena na huo upumbavu. Kwa ufupi ni kwamba kisiasa hatufanani hata kidogo.
Mkuu sentensi yako ya mwisho imemaliza kila kitu. Hapa EA siasa zetu hazifanani hata kidogo. Sijui hiyo jumuiya ya kisiasa itafanikiwa vipi kwa mgawanyiko huu wa kiitikadi na kijamii uliopo hapa EA.
 
Dawa sasa kwenda kuoa UG na kufyatua mtoto kwa hesabu za mbali mali na biashara atakae Thubutu kuleta ntima nyongo buluza East African Cort...
 
Narudia tena, siku mukiwacha kuwadharau nchi zingine hapa EA ikiwemo nchi zinazowalisha [emoji23][emoji23][emoji23] muje mudai EA community,
Huna kazi nyingine zaidi ya kueneza chuki online.

Ukiwa mzembe unasemwa tu, ndio desturi yetu hapa Kenya, haturembi wala kumumunya maneno, yaani nimewahi kumualika Mtanzania kwenye kikao cha Wakenya kazini, dah aliogopa sana maana humo tulikua tunaambiana kama ilivyo, baadaye sote tunakutana kunywa chai na kucheka.
Hata hapo Tanzania nimewahi kuwa kwenye kikao ambacho tulikutana Wakenya kila mmoja anawakilisha kampuni ya Kitanzania, aisei Watanzania walitushangaa sana, yaani kila kitu kinawekwa mezani, unaanikwa na kuambiwa wazi wazi udhaifu wako. Baada ya kikao sote tunapiga stori za kwaida na kucheka.
Tatizo ujamaa uliwaharibu sana nyie, ndio unaona hata spika wenu anavurugika kiakili kisa CAG amesema bunge lina udhaifu, hamjazoea kuambiwa na mtu asiye mnafiki.
 
"Tanzania’s failure to name its experts to the committee called to question the country’s commitment to the integration agenda, as the Treaty Establishing the EAC stipulates that the committee should not proceed without participation of one partner state."
 
Hizi blah blah blah unazozisema hakuna anayezikataa wala kuzipinga, tatizo ni pale hamsemi wala kutoa tamko kwamba mpewe muda, muda wote mnasema mumekubali na mumejitolea ila mnakwepa vikao. Mnafaa kutoa tamko mseme bado hampo tayari na kwamba mpo kwenye vikao vyenu vya ndani ili kuwaza na kutathmini na kudadavua umuhimu wa kukaa vikao vya EAC.
Kunyamaza kimya nako ni kuongea.
 
Hata uandike page za kutosha huwezi make sense hata siku moja hapa,
Wewe kazi yako ni kueneza chuki hapa.
Kwann msiwatafute hao wasio wazembe mkaunda jumuiya yenu mpya ya EA [emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa mzembe unasemwa tu, ndio desturi yetu hapa Kenya, haturembi wala kumumunya maneno, yaani nimewahi kumualika Mtanzania kwenye kikao cha Wakenya kazini, dah aliogopa sana maana humo tulikua tunaambiana kama ilivyo, baadaye sote tunakutana kunywa chai na kucheka.
Hata hapo Tanzania nimewahi kuwa kwenye kikao ambacho tulikutana Wakenya kila mmoja anawakilisha kampuni ya Kitanzania, aisei Watanzania walitushangaa sana, yaani kila kitu kinawekwa mezani, unaanikwa na kuambiwa wazi wazi udhaifu wako. Baada ya kikao sote tunapiga stori za kwaida na kucheka.
Tatizo ujamaa uliwaharibu sana nyie, ndio unaona hata spika wenu anavurugika kiakili kisa CAG amesema bunge lina udhaifu, hamjazoea kuambiwa na mtu asiye mnafiki.
 
Bora tubaki kama tulivokuwa hapo awali. Alafu hii 'political federation' ndio haifai kabisa, bora iwe ni muungano kwenye masuala ya biashara. Hizi nchi zingine zote ukanda huu zinaendeleza sera na siasa za kidikteta. Wakenya huwa hatuna hamu tena na huo upumbavu. Kwa ufupi ni kwamba kisiasa hatufanani hata kidogo.
Ina maana ulikuwa unaota ipo siku mtakua na political federation? 😔 Kweli ulikuwa kwenye usingizi wa pono
 
Kunyamaza kimya nako ni kuongea.

Ndio lakini sio unawaambia wenzako subirini hapo nakuja kisha unajificha ficha, huo sio udume, piga kifua ngumi ambia wenzako naridhia muondoke wenyewe nitawafuata baadaye.
 
Ndio lakini sio unawaambia wenzako subirini hapo nakuja kisha unajificha ficha, huo sio udume, piga kifua ngumi ambia wenzako naridhia muondoke wenyewe nitawafuata baadaye.
Kunyamaza kimya narudia tena kuwa nako ni kuongea pia. Hivi bado hujaelewa??????
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Hata uandike page za kutosha huwezi make sense hata siku moja hapa,
Wewe kazi yako ni kueneza chuki hapa.
Kwann msiwatafute hao wasio wazembe mkaunda jumuiya yenu mpya ya EA [emoji23][emoji23][emoji23]

Tulikuta jumuiya imeundwa kwa kushirikisha wazembe, hivyo inabidi tuwabebe kama walivyo. Hauwezi ukachagua nani awe jirani wako, ukinunua kiwanja, huna uwezo wa kusema nani anunue viwanja vingine maeneo hayo, watakuja vilaza na wazembe utawavumilia na kuwabeba kama walivyo.
 
Siwezi kukufundisha nahau ya lugha ya kiswahili ili uelewe maana ya niliyosema.
Kwani si wanayo ile ng'ombe yao (cow) bora wafunge mkokoteni wasonge mbele ,shida zao zinawafanya wawe vimbelembele na kuilalamikia TANZANIA Mara kwa Mara si waende na hilo ling'ombe Lao ala
 
Back
Top Bottom