Johnson Fundi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,386
- 1,207
soma toka mwanzo utaelewa tu kuhusu matejaMateja waliokokaj na ilikuwa mateja wakaondoka hawajazima moto ? je ndan ya soko kubwa km hilo mateja waliwezaj kuwepo muda wa saa 7 usiku ? je soko halina walinzi ?
sijajua anatupanga ili apate nini maana sioni kama kuna mtu atadaiwa fidia, kwa mfano nyumba ya jirani yako imeungua, huwezi kuzungumzia moto huo hata kama ulishuhudia mpaka police waseme!!??!!. halafu yule ni raia mwenzetu tumwamini tu maana angekuja police na maelezo yale hapo ndio kabisaaa!!!, lakini yote kwa yote moto ndio ulishalamba kila kitu pale hakuna gear ya reverse hata tukibishana vipi. tumshukuru mungu kwa kila jamboNafahamu mkuu madhara yake...ila huyo jamaa sio kuwa anatupanga tu?
Chanzo cha moto waliopaswa kukitaja ni jeshi la polisi/zimamoto...
Shuhuda wa mchongo huyuCloudsfmtz "Chanzo cha moto ni mateja ambao tupo nao sokoni Karume ambao wao wanajihusisha na kuuza viatu, unajua pale sokoni kuna moja ya banda ambalo wao huwa wanalitumia kutengeneza mihadarati yao ambayo huwa wanatumia mishumaa kuitengeneza na siku hiyo mshumaa ulianguka na kuanza kuungua" Thomas Benedicto, Mfanyabiashara na shuhuda wa moto soko Karume
#PowerBreakFast
Hapo ndipo ushangae waandishi wetu wa habari! Hawawezi kuuliza maswali ya msingi.Bwana Thomas Benedicto, kwanza i guess sio jina lake halisi, lkn je wakati huo yy alikuwa wapi? yy pia ni teja? mateja hufanya haya kwa kujificha yy Benedicto alikuwa amepiga pose wapi kusubiri mshumaa uwe chanzo cha moto huo? Inafikirisha kwa hakika!!!
Huyu atakuwa mvaa kaunda sutiBwana Thomas Benedicto, kwanza i guess sio jina lake halisi, lkn je wakati huo yy alikuwa wapi? yy pia ni teja? mateja hufanya haya kwa kujificha yy Benedicto alikuwa amepiga pose wapi kusubiri mshumaa uwe chanzo cha moto huo? Inafikirisha kwa hakika!!!
Huyu mtu kapangwa tu akaongee aloyaongea..Mateja waliokokaj na ilikuwa mateja wakaondoka hawajazima moto ? je ndan ya soko kubwa km hilo mateja waliwezaj kuwepo muda wa saa 7 usiku ? je soko halina walinzi ?
huyo kijana ni wa lumumba hao ndo mataga wapya wa mama.Cloudsfmtz "Chanzo cha moto ni mateja ambao tupo nao sokoni Karume ambao wao wanajihusisha na kuuza viatu, unajua pale sokoni kuna moja ya banda ambalo wao huwa wanalitumia kutengeneza mihadarati yao ambayo huwa wanatumia mishumaa kuitengeneza na siku hiyo mshumaa ulianguka na kuanza kuungua" Thomas Benedicto, Mfanyabiashara na shuhuda wa moto soko Karume
#PowerBreakFast
sijajua anatupanga ili apate nini maana sioni kama kuna mtu atadaiwa fidia, kwa mfano nyumba ya jirani yako imeungua, huwezi kuzungumzia moto huo hata kama ulishuhudia mpaka police waseme!!??!!. halafu yule ni raia mwenzetu tumwamini tu maana angekuja police na maelezo yale hapo ndio kabisaaa!!!, lakini yote kwa yote moto ndio ulishalamba kila kitu pale hakuna gear ya reverse hata tukibishana vipi. tumshukuru mungu kwa kila jambo
Unaushangaa mshumaa lakini huishangai njiti ya kiberitiDuh! kwa hiyo mshumaa tu ndio ulisababisha balaa lote lile?
Ni mateja tu wanaoweza kuamini soko lilichomwa na mateja
Unaushangaa mshumaa lakini huishangai njiti ya kiberiti
Eti shahidi!!!😂😂.Kwahiyo siku hizi clouds ndio mahakama au kituo cha polisi au kitengo cha uchunguzi wa janga Hilo la moto ndani ya siku 7.Ushaidi akatoe kwa zimamoto na sio kutumia chombo cha habari na kuanza kusambaza black propaganda!!!!Ushahidi lazima utufurahishe na uwe vile tunavyotaka sisi.....Shuhuda amehojiwa ameeleza namna moto ulivyotokea, sisi tunasema hapana ni muongo....tupeni basi huo ukweli na ushahidi hamtupi baadala tunapeleka lawama tu....
Nakazia kwanini hakuuzima?Mhuni huyo kwanini wakati unaanza kuwaka asiuzime kama alishuhudia? Asilete janja janja hapa