Shuhuda hizi ni za mchongo?

Shuhuda hizi ni za mchongo?

Naomba utoe hilo jina la huyo mheshimiwa ,we unamuona mbaya mpaka unamtolea mfano ila ujue ni baba wa familia na kuna mama anamuita baby
Nashauri wewe ufute post hii kwani mwenzio amefuta lkn jina hilo limebaki kwako baada ya ku quote
 
Watu Wana sura za baba zao ,wajomba,na sura za mizimu ya kwao bado mtu akileta Uzi wake utasikia pisi pisi kweli,guu guu la bia....nawakati kawaida tu ni iyo pabuchi anashangilia
 

Attachments

  • Screenshot_20220721-133629_Twitter.jpg
    Screenshot_20220721-133629_Twitter.jpg
    57.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom