Ghost Republic
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 623
- 533
Nafatilia kwa makini huu uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🙏🙏Ukiachana na mzee sumry Kuna huyu tajiri wa mabasi ya majinja traveller huyu jamaa ana mashamba makubwa ya kahawa mbozi na amejenga kiwanda cha kubangua kahawa, huyu nae amewekeza sana KWENYE kilimo, ukiachana na HUYO Kuna familia ya Mzee Asas pale iringa,familia hii imepata utajiri shambani JAPO kwa sasa imeingia KWENYE biashara ya mafuta,Wana shamba kubwa sana la kufuga ng'ombe,mbuzi, na kondoo,,ukiingia yotube utaiona,
Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Utajiri wa kulala kwenye nyasi, kila saa unafukuza nzi, umepauka , maisha yako ya dhiki unatembea kwa miguu muda wote eti una ngombe 1000 au hela ipo kwenye dude gani sijui Mungu aniepushie mbali.Kipindi cha uongozi wa hayati Magufuli, kuna Mmasai mmoja kule Monduli Arusha, alimkopesha mfanyabiashara wa sheli sh milioni mia mbili kwa ajili ya kuiamsha biashara yake ambayo kipindi hicho ilikuwa imeyumba sana.
Lakini kimwonekano huwezi fikiri kuwa anamiliki hata milioni moja[emoji3]
1. Mavazi yake ni mashuka ya Kimasai
2. Nyumba ni ya nyasi
3. Kitanda ni cha ngozi
Lakini alikuwa na zaidi ya sh milioni mia mbili ndani.
Aliyekopeshwa 200m alishtuka kuona "mzigo" wa hela ukitolewa ndani ya "kiduku" cha nyasi.
Baadaye alimshauri huyo Mmasai aache kutunza hela nyingi "ndani" kwani kufanya hivyo ni hatari kwa usalama wake.
Ndio wapi huko mkuu[emoji3][emoji2][emoji3]nenda mvuha ukakutane na watu wanaomiliki makundi makubwa y ng'ombe aisee,ila wanapolala ndio mtihani
Morogoro hiyo njia ya kwenda kisaki kwenye mradi wa umeme.Ndio wapi huko mkuu