Shuhuda za utajiri utokanao na kilimo Tanzania

πŸ™πŸ™πŸ™
 
Utajiri wa kulala kwenye nyasi, kila saa unafukuza nzi, umepauka , maisha yako ya dhiki unatembea kwa miguu muda wote eti una ngombe 1000 au hela ipo kwenye dude gani sijui Mungu aniepushie mbali.
 
[emoji3][emoji2][emoji3]nenda mvuha ukakutane na watu wanaomiliki makundi makubwa y ng'ombe aisee,ila wanapolala ndio mtihani
 
Ukitaka kuwa fukara bongo kuwa mkulima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…