Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Mbona wewe bado mwepesi,hebu ongeza lishe angalau ufike kilo 80[emoji39][emoji39]Nina urefu wa sentimita 167 uzito wangu ni 70 kg najiona mzito sana . Je nifanyaje nipungue nashindwa sana sana kufanya mazoezi deily.
Lkn Mtaalamu mmoja wa mambo ya lishe aliwahi kuniambia kuwa Mazoezi bila kupunguza kula ni Kazi bure,ni bora hata anayefanya diet kuliko wa Mazoezi pekee,kumbe Mazoezi yaende pamoja na diet.bisharo,
Wengi wanaotaka kupunguza mwili kwa kutumia lishe ni wavivu wa mazoezi,chunguza hiyo kitu.Na ni wachache sana wanaofanikiwa kupunguza uzito kwa njia hii,wengi wao huwa wanapungua kidogo kisha wanarudi palepale,utawasikia wanasema yaani mwili wangu umegoma kabisa.
Mazoezi ya kila siku kutembea kwa kasi kwa dkk 45,yanatosha sana,ukiweza kukimbia ni much better,kula usiache ila tu usile vitu vinavyoongeza mafuta mwilini,ukizingatia hayo ndani ya mwezi mmoja utakuja na shuhuda ya kupungua kilo kadhaa.
Tabia nyingine ya hovyo kabisa ni matumizi ya gari kila unapokwenda,lipe likzo hilo gari lako utapata matokeo mazuri,pia siku hizi bodaboda nazo ni shida hakuna tena wanaotembea umbali mrefu...
Ok72kg sijawahi kuwa kibonge
Mbona wewe bado mwepesi,hebu ongeza lishe angalau ufike kilo 80[emoji39][emoji39
Kila la heriHya sheikhe
Umetumia muda gani mkuu kuzifikia hizo 73kg73Kg now from 85kg,am enjoying my flat tummy...
Kutoka 85 to 75 nilitumia kama mwaka,ila kutoka hapo 75 to 73 nimekwenda taratibu sana takribani miaka 4,huwa napanda na kushuka hivyo sizidishi 75...Umetumia muda gani mkuu kuzifikia hizo 73kg
Hongera sana aisee.Kutoka 85 to 75 nilitumia kama mwaka,ila kutoka hapo 75 to 73 nimekwenda taratibu sana takribani miaka 4,huwa napanda na kushuka hivyo sizidishi 75...
Uliwezaje mkuu? Mbinu zipi unatumia?December mwaka Jana nilikuwa na 87kg
nilitumia wiki 3 hadi ile ya 4 kufikisha 80kg
Kulingana na kimo cha urefu wangu napaswa kuwa na 76 hadi 77.6kg
hivyo nimebakisha 3 to 4kg.
Wakati naanza hata Ofisini walinambia wacha tuone!
Ila
Moja ya kitu nachomshukuru sana Mungu ni kunipa huo uwezo wa KUJIACHIA na KUJIPUNGUZA
coz hii sio mara ya kwanza wala ya Pili.
Nakumbuka
Nilijiachia hadi 100 na zaidi kg
Ila nikaziondoa
Leo nikimuona mtu anaesema kuwa hawezi kupungua
huwa namshangaa sana!!!!
Coz anaweza na huo uwezo anao ila labda tu hajaamua.
Lishe + zoezi (kutembea tu kila siku Asubuhi 30 mis
na Jioni 30 mins
almost saa nzima)
Hongera sana umepungua kg 24 kwa miezi sita! Ushuhuda poa sanaMimi nilipungua from 92kg to 68kg bila zoezi
Niliacha wanga na sukari kwa miezi 6
Nakula mihogo na mboga za majani for lunch,asubui mayai na maji ya moto au matunda tu usiku ni veggies na nyama za kuchemsha
Plus kunywa maji mengi ili upate choo,unavyozidi kupata choo unapungua kirahisi
Yaani mchawi chakula kaka mazoezi ni nyongeza tuu. Wee ukitaka kujua mchawi chakula ebu kaa wiki nzima bila kula na wala usifanye zoezi uone kama hujapungua.Lkn Mtaalamu mmoja wa mambo ya lishe aliwahi kuniambia kuwa Mazoezi bila kupunguza kula ni Kazi bure,ni bora hata anayefanya diet kuliko wa Mazoezi pekee,kumbe Mazoezi yaende pamoja na diet.
Uliwezaje mkuu? Mbinu zipi unatumia?
Mkuu kula uwezavyo ili upungue uzito unahitaji uwiano wa chakula maji na mazoezi.Yaani mchawi chakula kaka mazoezi ni nyongeza tuu. Wee ukitaka kujua mchawi chakula ebu kaa wiki nzima bila kula na wala usifanye zoezi uone kama hujapungua.
Tatizo wengi wanafanya zoezi lakini hamna mabadiliko kwenye aina na wingi wa chakula wanachokula
Huitaji mazoezi bwana wewe. Ondoa vyakula vya kukaaga masoda juice na kula wali/ugali sahani nzima imejaa....wee kula size ya ngumi yako uone kama hujanywea fastaMkuu kula uwezavyo ili upungue uzito unahitaji uwiano wa chakula maji na mazoezi.