Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Wewe mdada mbona umefurahi hivyo?? Hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimefurahi kaka.Wewe mdada mbona umefurahi hivyo?? Hahaha
Nimeshangaa ikabidi nisome tena comment yangu nisije nikawa kituko bureeeUmecheka mno hadi emoj zimejaa kwenye screen ya simu
πππ aisee ila ni kweli.Acha kabisa dada.
Nimecheka mno dizain ya huyo mtu ni wale ambao nkitoka kuonana anakuja kukuchanba na id mpya kuwa miguu imepauka kwa vumbi.
Amesahau kwamba sasa hivi ni kipupwe
[emoji28]Ubavu wa kuja na id yake kongwe na kuandika hayo hana.[emoji38][emoji38][emoji38] aisee ila ni kweli.
Kajisifu kabisa eti najuana na watu wengi afu akasahau amelog in na ID teketeke
Halafu kama nakujua[emoji28]Ubavu wa kuja na id yake kongwe na kuandika hayo hana.
[emoji28] Unanifananisha kaka.Halafu kama nakujua
Usimuogope Sky Eclat we mwanaume bhana. Just be cool and rational in front of her Yeah ni mrembo haswa na ana hoja nzito so jiandae
Unaweza ubao ukasoma vizuri kama Habibu B. Anga kwa Nifah πππ
Mkiwasiliana mtu anakuwa anategemea makubwa. Ila ghafla bin vuu ndo mpango mzima. Hata mimi nikiwasiliana na mtu sana nakataga tamaa ya kuonana nae.ila hii kuanza kupeana namba kupanga eti tukutane eneo flani saa flani
hiyo ki ukweli sitaki hata kwa wale member ninaotamani kukutana nao sitaki
mambo ya kupeana appointments,yani vitu vitokee naturaly bila kupangana yani ile
unashtuka paap unagundua kumbe wewe ndio Flani yes i like that,ila kupeana ahadi asee hiyo
tutaishia wasiliana kwenye simu mpk mwisho,labda tu itokee hawa ninaowasiliana nao wapate matatzo
na nikiwa kama rafiki yake nijione kbsa kuwa siwezi acha hili likapita bila mimi kufika eneo la tukio,kwa sababu
hiyo naweza jitosa ntaacha yote ntaenda kwa rafiki yangu kumtia moyo/kumfariji,nk ila tofauti na hapo tutaishia kuonana
kwenye msg na kupgiana simu ila kupanga kbsa leo naenda kukutana na kiinjekitile au Ngororo hiyo sijui kama itatokea.
Last time,alikua mwajiriwa wa JF,sijui yuko wapi huyu jamaa! Mwana Simba mwenzanguNinatamani kukuta a na GENTAMYCINE
we jamaa bhana ππWatu pekee ambao napenda na natamani sana Kukutana nao kwakuwa ninatamani kuwa ' Genius / Brainy ' kama walivyo Wao na nawakubali sana, japo najua kwa Hadhi yangu ya ' Kikapuku / Kimasikini ' huku Dhiki, Taabu na Majaribu vikiwa ni Sehemu ya Maisha yangu wanaweza Kukataa Kukutana nami ni hawa Wafuatao....
1. Sky Eclat
2. Bila bila
3. kagoshima
4. Baba Swalehe
5. DOUGLAS SALLU
6. The Boss
7. Chakaza
JF ina ' Great Thinkers ' wengi tu na wote nawakubali hata kama wengine sijawataja katika Kikosi changu hiki ila hawa ( 7 ) ni wa Thamani sana tu.
Hapo mtakuwaa wote hamna nia ya kuonana au hakuna sababu inayowafanya muonane ...Mkiwasiliana mtu anakuwa anategemea makubwa. Ila ghafla bin vuu ndo mpango mzima. Hata mimi nikiwasiliana na mtu sana nakataga tamaa ya kuonana nae.
Asante kunitoa ushamba..SNs ( Social Networks)
kwa niaba ya maandazi wenzangu tunasema we fake it until we make it.Hahahaha, mkiwa ndani ya id ni tofauti ukiwa nje ya id , humu kuna watu wanaandikaga km vile wao ni ghali sana
Lkn uhalisia ni maandazi tu ,
Tabu ndio nani?Jesus!
hapana siyo Hiyo mie kama Tabu Ila mweupe