Ebu ngoja nifikilie kwanza we mzee ni mimi au sio mimiHahahaha, zile picha sio wewe ?
Ni wewe asee 100%Ebu ngoja nifikilie kwanza we mzee ni mimi au sio mimi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka sana ila kuna watu jamani tuwasamehe tu..Wewe una chunusi moja usoni [emoji1787][emoji1787]
Mwanaume unaogopa je hilo?Eti wanaogopa kutongozwa
Wewe upo JF saa hii, wenzako ndipo wanapiga cha mwisho ili waamke fresh!
Acha kabisa dada.
Nimecheka mno dizain ya huyo mtu ni wale ambao nkitoka kuonana anakuja kukuchanba na id mpya kuwa miguu imepauka kwa vumbi.
Amesahau kwamba sasa hivi ni kipupwe
HahahahaWewe upo JF saa hii, wenzako ndipo wanapiga cha mwisho ili waamke fresh!
Vipi au jamaa ananiangusha
Sawa mkuu. Mimi niliuliza tuSwala ni muda au kukutana na watu?soma uzi uuelewe vzr, naweza kuwa na muda mchache lkn nikawa nimekutana na watu wengi tofauti na mwenye miaka mingi humu!!
Hivi we mzee siku tukutane uone tofauti na picha nilizouzwa kwako utafanyaje [emoji1787]Ni wewe asee 100%
AiseeehHahahaha, mkiwa ndani ya id ni tofauti ukiwa nje ya id , humu kuna watu wanaandikaga km vile wao ni ghali sana
Lkn uhalisia ni maandazi tu ,
Hahahaha, nitacheka kweli kweliHivi we mzee siku tukutane uone tofauti na picha nilizouzwa kwako utafanyaje [emoji1787]
wee toka upewe picha yangu nimepauka hata Inbox umegoma kuja...We mama lete lete hela tufanye biashara [emoji1787] hivi mimi na wewe tunafahamiana kweli
una mwenzio anatafuta wa kumlea plz nikonektiWengi mno(sio kuchakatana lakini)! Mmoja wao yupo beside me hapa hapa tunaleana na kulea.
Hahahaha mm wewe napendaga comments zako tuHongereni sana
toka Hazard aniache jumbo lipo wazi
kama k
una mwenzio anatafuta wa kumlea plz nikonekti
[emoji23][emoji23]acha basi mambo yako hornet. Hazard ameachia vipi jimbo kirahisi hivyo!!Hongereni sana
toka Hazard aniache jumbo lipo wazi
kama k
una mwenzio anatafuta wa kumlea plz nikonekti
Hahahaha mimi huyu au unamsema mtu apawee toka upewe picha yangu nimepauka hata Inbox umegoma kuja...
Au mpaka niuze nyumba ya urithi ndio unielewe hahahaHe he mkuu mimi tofauti na uvyonifikiria yaani