Shuhuda za waliowahi kukutana kupitia JF

Shuhuda naona kama chache hv ,hebu wekeni basi

Sijasikia wale wakukimbiana ubungo stendi na kwingineko huko
 
Shuhuda naona kama chache hv ,hebu wekeni basi

Sijasikia wale wakukimbiana ubungo stendi na kwingineko huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au weee ndo ulikimbiwa daddieeh? Mmmmh
 
Nimekutana na kaka mkuu Mshana Jr akannunulia bia kisha akanielekeza wanapouza chumvi ya mawe [emoji3][emoji3][emoji3]
Kaka Mshana shukran sana, ntakutafuta tena 4 more life lessons [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mie yupo humu tena ni dada mwelewa sana
Mama Ivan wwe ni mwelewa
 
Hahaa my friend of all the time, hizo sifa zote mmh haya bana🤝, flag yako mbona iko vizuri tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…