Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Shuhuda naona kama chache hv ,hebu wekeni basi
Sijasikia wale wakukimbiana ubungo stendi na kwingineko huko
Sijasikia wale wakukimbiana ubungo stendi na kwingineko huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au weee ndo ulikimbiwa daddieeh? MmmmhShuhuda naona kama chache hv ,hebu wekeni basi
Sijasikia wale wakukimbiana ubungo stendi na kwingineko huko
au hutak nasi tuwe na ushuhuda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]
Titamshuhudia Jehova madhabahuni jinsi alivyotukutanisha rafiki.au hutak nasi tuwe na ushuhuda [emoji23][emoji23][emoji23]
ChatoNishakutana na Mr.............
But what happens in 'Vegas' shld stay in....
Naomba tukutane..Hongera mkuu
daah [emoji23][emoji23] , ndio ishakua hvyo, ntafanyaje sasaTitamshuhudia Jehova madhabahuni jinsi alivyotukutanisha rafiki.
Nipe picha yake basitabu mtingita sijui ndo Hivyo!
njoo Whatsap......hahahaNipe picha yake basi
Mweeh sawanjoo Whatsap......hahaha
Jamaniii 😀😀, sasa jina lenyewe "financial services " unategemea nini ? ndyo maana ulinikimbia Rudi bana😛financial services nimewahi kukutana naye ni mrembo kweli sema ana vibomu sana niliamua kumpotezea
Jamaniii [emoji3][emoji3], sasa jina lenyewe "financial services " unategemea nini ? ndyo maana ulinikimbia Rudi bana[emoji14]
Hahaa my friend of all the time, hizo sifa zote mmh haya bana🤝, flag yako mbona iko vizuri tuuKuna msela nilikuwa nae kwenye Auditing firm moja hivi, jamaaa alikuwa analipwa mi nilikuwa intern, sasa ikifika lunch time jamaa anaenda kula mi nikawa nabaki ofisini, nikawa naingia JF kuperuzi, siku moja akanikuta alafu nikawa najua haelewi kitu, si akaniambia naye ni member JF akanitajia members ambao ni maarufu JF akiwemo Bujibuji ,Msukuma wa dar ,Shunie na wengineo, aliisoma ID yangu mi yake siijui mpaka leo, Na mwingine niliyeonana nae live ni financial services , ni mrembo kwa kweli huyu dada, ni mstaarabu sana, nilimpenda kiasi chake, ni super tall (''Twiga'' tunawaita), najua hakumaind flag yangu coz kanizidi urefu, japokuwa mi sio mfupi...kifupi ni members wawili niliowahi kukutana nao live la kini huyu wa Kwanza siijiu Id yake...So ni member mmoja ninayeijua ID yake na nimemuona live....
Usidate na avatar mkuu, si yangu hiyo usijetoka nduki kama IFRSNjoo nikuone mim asee [emoji56] nmependa avatar yako
Nakutana nao apa jukwaani, maana kila mtu yuko dsm mm tu ndo naishi nje ya DSM
Usidate na avatar mkuu, si yangu hiyo usijetoka nduki kama IFRS
Pm ndiyo wapi, mi nipo mkoani huku?Hahahahah si hvo heb kuja pm kwanza mkuu