wewe mdada mbona kila sehemu ni mtu wa vagi, mbaya nini kwako? Au una msongo wa mawazo kila sehemu ninapokuona sijawahi kukuta umecomment kistraabu wewe ni mtu wa ligi tu hahahaKuna watu wanakera Sana jamani Sasa unakuja wajifanya rafiki hunijui ile undani then unaanza kuandika uongo hadharani hawajui kuwa huku tuna wazazi, ndugu na marafiki, mtu anayetoa Mambo ya PM, na nje ya JF apigwe tu life ban wallah, kukutana na mtu au kutatuliana shida isiwe sababu za kusambiziana umbeya, Tena wanaume ni vinara sijui Wana shida gani wallah.
Hahahaha, Dada naomba namba ya wakala aliye karibu yako upate Soda au juice hapo ulipoKuna watu huja PM na kujifanya marafiki mnapiga story kumbe anakudodosa apate mawili matatu, unaishije then baadae anakuja na I'd nyingine kuanzisha Uzi au kuku attack na kusambaza umbeya, Kuna mmoja akapeleka maneno Hadi kwa mahawara zake wa humu ilinishangaza Sana.
In short JF nikutokuzoeana na mtu kabisa wengi humu failures wa life unakuta hakujua anaandika ili aonekane na yeye anakujua sijui kwa faida ya Nani, waache utoto,
Binafsi Kuna watu nafahamiana nao kwa I'd nyingine wanajifanya wema tuna chart kwingine Wana ni attack na vitu vya uongo kwa taarifa siwezi kubadili I'd yangu kisa wasengerema wasiojielewa Nita change tu siku nikijiskia Ila sio kwa wapuuzi wanaojifanya kunijua, hata wakinijua Hadi kisimi I won't change anything.
Watu kueni jamani, great thinker Ila Kuna watu akili Bora za nyumbu, hii platform muhimu ya kushare mawazo sio ujinga woooi,
Muwe na siku njema wote mnaojielewa
Naogopa kukutana na watu[emoji1751]Tukutane rafiki
Watu pekee ambao napenda na natamani sana Kukutana nao kwakuwa ninatamani kuwa ' Genius / Brainy ' kama walivyo Wao na nawakubali sana, japo najua kwa Hadhi yangu ya ' Kikapuku / Kimasikini ' huku Dhiki, Taabu na Majaribu vikiwa ni Sehemu ya Maisha yangu wanaweza Kukataa Kukutana nami ni hawa Wafuatao....
1. Sky Eclat
2. Bila bila
3. kagoshima
4. Baba Swalehe
5. DOUGLAS SALLU
6. The Boss
7. Chakaza
JF ina ' Great Thinkers ' wengi tu na wote nawakubali hata kama wengine sijawataja katika Kikosi changu hiki ila hawa ( 7 ) ni wa Thamani sana tu.
HahahahaNaogopa kukutana na watu[emoji1751]
Upumbavu ni nini ?Mleta mada omba mods wafute huu uzi acha upumbavu
📌Kohh kohhh Nakazia
Pengine OP anatamani kukutana na watu lakini anaogopa. Ameuliza ajue kama wengine wanakutana na ni kawaida?. Anataka kuwa inspired, Maybe?
Nikikutana na wewe sifanyi siri, chumba changu cha siri kimejaa The Monk na sina mpango wa kuongeza space.
Naomba tukutane.
Kwanini kujishusha kiasi hicho mkuu? Jambo la kwanza ni kujikubali mwenyewe. Na mtu atakaekuonea aibu kwa hali uliyonayo hawezi kuwa mtu mwema hata kama ungekua una status gani.
Hahaaa ngoja nikutumie number nipate hela ya choda leo, na utume kweli[emoji23][emoji23]Hahahaha, Dada naomba namba ya wakala aliye karibu yako upate Soda au juice hapo ulipo
HahahahaHahaaa ngoja nikutumie number nipate hela ya choda leo, na utume kweli[emoji23][emoji23]
Hahaaa mkuu unizoee tu nilivo Yani walah haihusiki na sitiress Wala lolote so relax mkuu, ndio ninavoandika JFwewe mdada mbona kila sehemu ni mtu wa vagi, mbaya nini kwako? Au una msongo wa mawazo kila sehemu ninapokuona sijawahi kukuta umecomment kistraabu wewe ni mtu wa ligi tu hahaha
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Kwanini umebold Uzi wako? Yan ni kama vile unatufokea na kutulazimisha tutoe shuhuda wakati we mwenyewe hujatoa.
Edit Uzi wako, weka ushuhuda wako tuone mfano then wachangiaji tuendelee
NICEMm Kuna mdau mmoja kna sehemu nilienda nikamsikia anacheka mwenyew na simu nikamuuliza nn kinakuchekesha mzee utawehuka, bas mdau akaniambia apa nipo site moja hiv inaitwa JF Kuna topic huwa naipenda sana kuisoma sasa Kuna Comment imenichekesha, nikamjibu, ni uzi gani uo au uzi wa rikiboy wa tunda unausoma mzee, basi mdau alicheke sanaa akasema umejuaje ndio huo, basi tokea siku iyo mdau anaamini mm ni Rikboy eti namwambiaga mm mfuasi wake tuu km ww ila sio mm, mpaka leo ananiitaga Rick boy. Tokea siku iyo tukawa washkaji ila kwny I'D name hatujuani alikataa katu kusema ID yake ila mm nadhan km kasoma comment hii kashanisoma.
Nimezoea Kusema Ukweli na Maisha yenu ya Drama nikimaanisha ya Video ( Kudanganya ) siyawezi. Na sijaona tatizo hapo Kujiweka wazi Kwao.
yesHabarin Wadau , kufuatia ukuwaji wa sayansi na teknolojia ktk sekta ya mawasiliano kumepelekea ongezeko la matumizi ya mitandao ya kijamii including JF. Mitandao ya kijamii ni platform kukutana na watu mbali mbali na kutengeneza mahusiano , urafiki, biashara n.k. Je tangu Umeanza kutumia JF Je umewahi kukutana na mtu yeyote na kutengeneza
A. Urafiki
B. Mahusiano ya kimapenzi
C. Fursa mbalimbali e.g kimasomo, biashara , ajira