Mkuu hata kama Marando alisema hayo aliyoyasema lakini si lazima awe mkweli au tumuamini.Hivi kwanini msiisome hiyo hukumu mpaka mwisho wakuu?Babu Seya mwenyewe alishadai tena mahakamani kuwa hii kesi ni cooked na hata yule mwalimu ambaye ni mshtakiwa namba 5.Na walipoulizwa ni nani alipika hiyo kesi na kwanini,Babu Seya akashindwa kutoa majibu ya kuridhisha.Mwanaye walau(mshtakiwa no2),ndiye alisema wamepikiwa kesi kwavile wanaonewa wivu kwamba wao ni wanamuziki maarufu wenye mafanikio.Sasa Babu Seya mwenyewe kwanini hakumtaja huyo aliyemuhisi/anayemjua kuwa alipika hiyo kesi?Kumbuka ushahidi wote ulikuwa unambana na hii labda ingekuwa karata yake yakui 'soften' ile kesi,lakini wapi!Mkuu soma hukumu.Yaani kuwafundisha watoto 10 wa miaka 6-8 na wote wakaseme almost sawa mahakamani tena baada ya kuwa cross examined for hrs then still wawe bold bila kuyumba na msimamo uleule,mkuu this is impossible!Miye nilikuwa naamini kama wewe baada ya hearsay za mtaani,lakini baada ya hii hukumu,nimeamini kuwa Babu Seya ni experienced rapist!