Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fikiria ikafikia hata wale waliomsukumizia madaraka wanaogopa kumkosoa. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alimpigia kampeni Mwinyi lakini Mwinyi alipoanza kuboronga na kuigeuza Ikulu sebule ya wakwepa kodi hakunyamaza, alimkemea.Roho mbaya saana!!
Kinachoogofya zaidi ni huyu mtu kupewa miaka mingine mitano licha ya kwamba hapendwi kabisa. Waoga, wanafiki na walafi wameamua kuvitumia vyombo vya dola kumsukumizia miaka mingine mitano, je tutapona? Hilo ndilo swali ambalo kila Mtanzania itabidi ajiulize...
Mkuu Mag3 naomba utuwekee video katika mfumo tunaoweza kudownload please not as a link. Niko na watu kibao ndugu zangu nikiwaeleza ukatili wa huyu bwana huwa hawanielewiNaam, hiyo ndiyo Tanzania na hao ndio viongozi wa chama tawala wanaotaka tuwape ridhaa ya kuendelea kututawala kwa miaka mingine mitano. Cha ajabu ni kwamba wapo Watanzania wenzetu ambao wako tayari kutoa ridhaa hiyo bila hata kuhoji..
Lakini si unaweza kutoa hata wewe ndugu? Kama huna video unaweza kuandika hapa hizo qualifier za kuzungumza ukatili hadharani ukimtanguliza na Mungu. Please tuwekee hapa hizo qualifiersHizi ni mbinu tu. Toa video yote ili tujuwe kasema nini.Wewe umetoa sentenso moja na hatujui qualifier za aliyoyasema zikoje. Hii wapelekee wajinga ndiyo watakuamini!
Wasikusumbue Hawa wote unaowaona humu wakipiga kelele mitano Tena Ni watoto wa dada zake yaani wapwa. Hawa Ni kina Dotto na nduguze wanajaribu kujimultiply kwa ID za kutosha JFKajinyinge? Ushamba na ulimbukeni utawamaliza. Mitano mingine ni ishara tu ya laana kuongezeka na hata hiyo ikiisha anaweza akapata hata mingine kumi, si amekamata mpini? lakini iko siku atatoka tu. Idi Amin Dada wa Uganda alidai kuota ndoto iliyomwezesha kujua hata siku yake ya kufa hivyo hatishiki. Naye alikuwa na wafuasi wanaofanana na wewe. Siku yake ilifika na akaikimbia nchi yake. Alikuja kufia mafichoni mbali kabisa na nchi yake.
Abadani, hawezi..!!Vitisho mbele ya uhai wa Taifa letu..., kama mtu anayo chembe hata hafifu ya uzalendo ndani yake, ni wakati wa kusimamia uzalendo huo.
Hawa wote wanaopewa maelekezo, wakiyakataa, atawafukuza kazi wote?
Mkuu najua ni vigumu sana lakini ni wakati wa kila mtu kusema hapana. Nakuapia huyu kama kila mtu akikataa uovu na kuunganisha nguvu ataanguka vibaya sana sana. Anachukiwa kupita maelezo na tatizo lipo tu ni nani aanze... Miaka ya nyuma CCM ilikuwa na nguvu vijijini lakini mwaka huu vijijini ndiyo watu hawaitaki kabisa. Kuna jamaa zangu wengi walikuwa wana CCM wa kweli na washabiki waliokubuhu kila kipindi cha uchaguzi lakini safari hii hawataki kumsikia huyu rais kabisa. Polisi na hata jeshini watu wanafuata amri kwa shingo upande lakini likitokea tukio moja dogo tu linaweza ku-activate chain of reactions na Magufuli akaanguka vinaya sana.
Mchakato wa kampeni imenifundisha mambo mengi nimeweza kuwatambua watu wenye roho za chuki na unyama. Kwa kupenda kuona watu wengine wanapigwa na kunyanyaswa ni kipimo kizuri kujua huyu ni mtu wa namna gani.Naam, hiyo ndiyo Tanzania na hao ndio viongozi wa chama tawala wanaotaka tuwape ridhaa ya kuendelea kututawala kwa miaka mingine mitano. Cha ajabu ni kwamba wapo Watanzania wenzetu ambao wako tayari kutoa ridhaa hiyo bila hata kuhoji.
Kitu kimoja kilicho wazi ni kwamba tukifanya makosa tena, safari hii tutalia sana kwani kama alivyowahi kuonya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP), aliyeonja nyama ya mtu haachi.
Sahihi kabisaAbadani, hawezi..!!
Kila kitu kiko very well planned..
Nakuhakikishia, watu watarajie mshangao wa karne..
Watu wawe tayari kuuona uwezo na utukufu wa Mungu..
Daudi ameshamwangusha Goliath..!!
Hakika ndivyo itakavyokuwa..
Imeandikwa, mtaziona ishara na dalili zote za "ule mwisho"..
Ishara ya kwanza kubwa, ni utawala wa CCM kukosa KIBALI cha UMMA na MUNGU mwenyewe..
Magufuli hana kibali kabisa. Magufuli na CCM yake wanapumulia artificial oxygen machine..
Wao wanajua, wananchi wanajua na Tanzania na dunia yote inajua...!
Ndugu yangu Kuna watu wengi bado wako gizani, leo nilienda posta nikahudumiwa na mama mmoja anayejiandaa kustaafu mwaka huu akiniuliza utampigia Nani kura? Nikamjibu yeyote aliye kwenye karatasi lakini sio Magufuli.Abadani, hawezi..!!
Kila kitu kiko very well planned...
Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu wa MbinguniSitashangaa kama baada ya tishio lake hili lililoonekana kuungwa mkono na uongozi wa juu wa CCM ndio kikosi cha wasiojulikana kikaundwa. RIP Ben Saanane, RIP Azory Gwanda, RIP Watanzania waliopotezwa katika hiyo miaka mitano.
Tarehe 28/10/2020 na bado siku mbili tu tuhakikishe tunakomesha kabisa ukatili huu tulioushuhudia. CCM na mgombea wake OUT!
Unaweza kuisave tu kwa njia ya kawaida na kumrushia mtu yeyote yule kwa simu au kwa laptop, mbona hakuna shida? Huyu mtu hatufai Watanzania, period!Mkuu Mag3 naomba utuwekee video katika mfumo tunaoweza kudownload please not as a link. Niko na watu kibao ndugu zangu nikiwaeleza ukatili wa huyu bwana huwa hawanielewi
Wapo binadamu wakatili wengi tu waliowahi kutisha kuliko huyu lakini mwisho ulipofika hawakuwa na chao. Huyu hata ikitokea miujiza akapona hawezi kuwa tena na amani, atasononeka muda wote.Ndugu yangu Kuna watu wengi bado wako gizani, leo nilienda posta nikahudumiwa na mama mmoja anayejiandaa kustaafu mwaka huu akiniuliza utampigia Nani kura? Nikamjibu yeyote aliye kwenye karatasi lakini sio Magufuli...
Big Salute Mkuu...Naam, hiyo ndiyo Tanzania na hao ndio viongozi wa chama tawala wanaotaka tuwape ridhaa ya kuendelea kututawala kwa miaka mingine mitano. Cha ajabu ni kwamba wapo Watanzania wenzetu ambao wako tayari kutoa ridhaa hiyo bila hata kuhoji.
Kitu kimoja kilicho wazi ni kwamba tukifanya makosa tena, safari hii tutalia sana kwani kama alivyowahi kuonya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP), aliyeonja nyama ya mtu haachi.