UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Kila likitajwa jina la mbowe namkumbuka Chacha Wangwe. Jamaa ni katili sana, hata sishangai kumtishia Sumaye kwa sumu.Usikitajetaje jina huyu kichaa jiwe, ukilitaja unatukumbusha machungu ya kuporwa, kutekwa na kuuawa kwa ndugu jamaa na marafiki zetu
A true son of Africa...a man who has proven to be hard to forget..kila nikitembea ktk inchi yangu hii pendwa nakutana na kazi zake zikiongea zenyewe, natabasamu kanyaga mafuta nikijipa moyo kua we once had a great leader, a man of his word mtu wa kazi..kwa hizi tozo na mikopo tuliyopokea within 2yrs angezipata yy nadhani angeupiga mwingi mara 3 zaidi ya alivyoupiga mwingi ktk miaka yake mitano.
Magufuli anakula asali na maziwa na bikra 70 kila siku sasa nyie endeleeni kuteseka na Tozo. Niliongea nae ndotoni jana anasema wabongo washenzi sana mmezidi unafiki 😂😂😂 ila yeye yuko safi tu mambo ni pambe tu.Amrehemu au aongeze ulnzi asitoroke kwenye moto wa milele?Kuluona luulo!😂😂😂😂
Wabongo vigeugeu sana!Magufuli anakula asali na maziwa na bikra 70 kila siku sasa nyie endeleeni kuteseka na Tozo. Niliongea nae ndotoni jana anasema wabongo washenzi sana mmezidi unafiki 😂😂😂 ila yeye yuko safi tu mambo ni pambe tu.
Unafiki ukizidi unazaa usaliti na dawa ya msaliti ni kifo tu. Magufuli ali dili vyema na wasaliti kwa hilo nampa pongezi. Ni sawa na mtu kusikitika panya rodi wakila njugu wakati wao wanaua watu kikatili kwa njaa za simu ya elf 20!Wabongo vigeugeu sana!
Wabongo vigeugeu sana!
Shujaa Magufuli ataheshimika na kukumbukwa daima.Usikitajetaje jina huyu kichaa jiwe, ukilitaja unatukumbusha machungu ya kuporwa, kutekwa na kuuawa kwa ndugu jamaa na marafiki zetu
😂😂😂😂😂Atavimbiwa sasa.Ale polepole.Magufuli anakula asali na maziwa na bikra 70 kila siku sasa nyie endeleeni kuteseka na Tozo. Niliongea nae ndotoni jana anasema wabongo washenzi sana mmezidi unafiki 😂😂😂 ila yeye yuko safi tu mambo ni pambe tu.
Unaandika na kucheka hovyo mwenyewe kama zuzuAmrehemu au aongeze ulnzi asitoroke kwenye moto wa milele?Kuluona luulo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulipendelea nilie kama unavyojilizaga hovyo.Kufilia mbali!Unaandika na kucheka hovyo mwenyewe kama zuzu
Una kipaji cha shetani wewe. Mfuate shujaa wako alipoUmauti umkuta Binaadamu mahali popote pale alipo! Sasa subiri zamu yako ya umauti kukufika,lazima utakukuta Guest house na Mchepuko ndiyo utajua kua hujui!!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Rot In Hell JiweRest in power Mwamba kutoka Chato
Haipingi ukweli kuwa Mwamba kutoka Chato alikuwa genius kwa kufanikiwa kwake kuwaunganisha CCM MAFISADI na CHADEMA MATAPELI. Wakawa marafiki na wote wakaimba wimbo mmoja.Rot In Hell Jiwe
Dua la kuku kamwe halimpati mwewe...Rot In Hell Jiwe
Hili ni dua la mwewe kwa kuku. Ndiyo maana kafaDua la kuku kamwe halimpati mwewe...
Bado hujajifungua hiyo Mimba ya magufuli?Usikitajetaje jina huyu kichaa jiwe, ukilitaja unatukumbusha machungu ya kuporwa, kutekwa na kuuawa kwa ndugu jamaa na marafiki zetu
Ushujaa ni kufa kwa COVID baada ya kukataa utaratibu uliowekwa na wataalam.Enzi za Shujaa Magufuli kila jambo alisukumiziwa yeye lakini yeye alikaa kimya tu akiendelea kuchapa Kazi.
Aliwahi kusema Neno moja tu " Nimejitoa sadaka kwa ajili yenu"
Mungu wa mbinguni amrehemu Maguful!
Wanamfira kutwa kuchwa unachezea kuzimu wewe.Magufuli anakula asali na maziwa na bikra 70 kila siku sasa nyie endeleeni kuteseka na Tozo. Niliongea nae ndotoni jana anasema wabongo washenzi sana mmezidi unafiki [emoji23][emoji23][emoji23] ila yeye yuko safi tu mambo ni pambe tu.