Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
At what human and material costs?Ukilinganisha bajet iliyokadiriwa kumaliza mradi na gharama zilizotumika ndio utajua kiasi gani wananchi wamepigwa kwenye huu mradi!’ Na kamwe serikali haitatoa hadharani actual costs za huu mradi!🥲🥲Ameweza sana sana kuikomboa Tanzania.
Mafisadi washindwage popote waliopo.
Umeme wa gesi ungeips thamani gesi yetu
Hapana sisi bado sana lo
Ha haaHapana sisi bado sana lo
Amen