Shujaa wa filamu ya 'Hotel Rwanda', Paul Rusesabagina ashikiliwa kwa mashtaka ya ugaidi

Shujaa wa filamu ya 'Hotel Rwanda', Paul Rusesabagina ashikiliwa kwa mashtaka ya ugaidi

Wanasema huyo jamaa 'wamemteka' akiwa Dubai,kuna video yake nimeiona inapostiwa kule twitter akiongea kwa kiingereza akipongeza mashambulizi yaliyoua watu kadhaa na kuchoma magari yaliyofanywa na kikundi chake huko Rwanda chini ya yule msemaji wao aliyekua anajiita Major Sankara ambae nae 'walimteka' kule Comoro sasa yuko Kigali akiwa na kesi.

So nadhani yule msemaji wake anayejiita Major Sankara ndie atatumika kumchoma huyo jamaa.

Wazungu kule twitter wamechachamaa balaa kwa hasira,naona wanajibiwa kwa kuwekewa hio video jamaa akipongeza kikundi chake kwa mashambulizi hayo,wanakua wapole.
Hapa mwamba Kagame awe makini sana akicheza za umafia hapa yangu macho
 
Huyo jamaa amejipatia umaarufu kwa hilo tukio la hotelini la kuwaokoa watu wasiuawe sasa chochote kibaya akifanyiwa Watu watalipuka kuanzia media mpaka wananchi na hapo ndio Kagame atawafahamu vizuri wanasiasa wa nchi za Magharibi

Hao watu wakulipuka watatoka wapi sasa mzee baba?Kigali wakiambiwa hakuna kukohoa ni wote kimyaa mambo ya uhuru wa Kuongea sijui kutoa maoni hakunaga ujue.
 
Kagame mwisho wake utakuwa mbaya sana..

Jinsi anavyoua watu na kuwaonea inajenga chuki kubwa.. rwandans wanahitaji peace.. na true peace inapatikana kwa kujenga taifa lenye upendo.. ila hii ya kila mhutu kupewa kesi na kufungwa ama kunyongwa inazidi ongeza chuki kwa wananchi.. akumbuke tu hakuna namba moja wa milele.. hii ni zamu yake kutawala ila kuna siku na yeye atatawaliwa ama ataingia mtegoni kama ghadaffi vile
 
Hao watu wakulipuka watatoka wapi sasa mzee baba?Kigali wakiambiwa hakuna kukohoa ni wote kimyaa mambo ya uhuru wa Kuongea sijui kutoa maoni hakunaga ujue.
Huyo jamaa nadhani nchi za kimagharibi zote raia wanamjua maana amezunguka sana hizo nchi akipiga semina kuhusu genocide
 
Hapa mwamba Kagame awe makini sana akicheza za umafia hapa yangu macho
Nadhani atakua amejipanga,hizi siku kadhaa kule twitter walikua wanasema PK amekufa akiwa huko Israel hosp maana ana siku nyingi hajaonekana Live.Nadhani alikua bize kumlia timing huyo jamaa.

Jamaa amemteua Mwanamke kua boss wa Intelligensia wa nchi hio, sasa sijui ndio amempa asante ya kufanikisha mission ya kumkamata huyo mwamba?
 
Nadhani atakua amejipanga,hizi siku kadhaa kule twitter walikua wanasema PK amekufa akiwa huko Israel hosp maana ana siku nyingi hajaonekana Live.Nadhani alikua bize kumlia timing huyo jamaa.

Jamaa amemteua Mwanamke kua boss wa Intelligensia wa nchi hio, sasa sijui ndio amempa asante ya kufanikisha mission ya kumkamata huyo mwamba?
Wakicheza vibaya hapa mi nasubiria kuona maana jamaa kwa wazungu ni shujaa

Fuatilia seminar zake zilivyokuwa zinajaza wazungu pia angalia media zote kubwa duniani zinamjua kikitokea kibaya huo moto wake PK ataelewa
 
Hao watu wakulipuka watatoka wapi sasa mzee baba?Kigali wakiambiwa hakuna kukohoa ni wote kimyaa mambo ya uhuru wa Kuongea sijui kutoa maoni hakunaga ujue.


Kagame wa rwanda waliopo ndani ya rwanda anawaonea sana.. mwisho wake hautakuwa mzuri kwa jinsi anavyomwaga damu za watu

Ghadaffi alikuwa na nguvu sana mara 10 ya kagame ila aliuwawa kama kuku vile

Akumbuke mataifa yanayomzunguka pia hayana uhusiano mzuri na kagame.. museveni aliyemsaidia sana kagame now amekuwa adui yake.. ukienda burundi ni adui zake ukienda congo pia hawampendi.. kagame kikinuka tu sijui atakimbilia wapi..

Wazungu wanamdanganya huku wao wapo mbali.. kikinuka kufika ulaya ama america kunahitaji wafrica wenzake majirani wamsaidie

Na kwa staili yake ya Corona alivyoleta choko choko kwa madereva wa Tanzania.. sizani kama urafiki upo vizuri kati yake na sisi pia
 
Huyo jamaa nadhani nchi za kimagharibi zote raia wanamjua maana amezunguka sana hizo nchi akipiga semina kuhusu genocide
Sure na jamaa anaheshimika sana huko Ulaya+Marekani mpk ana foumdation yake kubwa tu khs hayo mambo ya Genocide hawa wakina Geoge W. Bush,Hillary Clinton jamaa yuko nao karibu sana tu.

Rwanda wao wanachomshutumu ni kwamba:

1.Akiwa Meneja wa hotel Rwanda aliokoa watu waliokua wanampa pesa tu,kama hauna pesa anaruhusu interahamwe wakuchukue unaenda kupigwa panga nje then imeisha hio.,kuna kitabu kinaitwa Inside Hotel Rwanda walionusurika wameelezea kilichotokea humo ndani ya hio hotel.

2.Kuunda kikosi cha waasi na kushambuliwa Nchi hio huku pesa akizipata kupitia fundraising anayoifanya chini ya taasisi yake ya mambo ya genocide.

Kiufupi mpk Rwanda abadilishe akili za wazungu+watu wengine duniani khs mtu huyo ambao wanamuona kama 'hero' kwao itawachukua muda sana.
 
Sure na jamaa anaheshimika sana huko Ulaya+Marekani mpk ana foumdation yake kubwa tu khs hayo mambo ya Genocide hawa wakina Geoge W. Bush,Hillary Clinton jamaa yuko nao karibu sana tu.

Rwanda wao wanachomshutumu ni kwamba:

1.Akiwa Meneja wa hotel Rwanda aliokoa watu waliokua wanampa pesa tu,kama hauna pesa anaruhusu interahamwe wakuchukue unaenda kupigwa panga nje then imeisha hio.,kuna kitabu kinaitwa Inside Hotel Rwanda walionusurika wameelezea kilichotokea humo ndani ya hio hotel.

2.Kuunda kikosi cha waasi na kushambuliwa Nchi hio huku pesa akizipata kupitia fundraising anayoifanya chini ya taasisi yake ya mambo ya genocide.

Kiufupi mpk Rwanda abadilishe akili za wazungu+watu wengine duniani khs mtu huyo ambao wanamuona kama 'hero' kwao itawachukua muda sana.
Watende haki hawa Rwanda thats all
 
Wakicheza vibaya hapa mi nasubiria kuona maana jamaa kwa wazungu ni shujaa

Fuatilia seminar zake zilivyokuwa zinajaza wazungu pia angalia media zote kubwa duniani zinamjua kikitokea kibaya huo moto wake PK ataelewa
Wazungu sometimes don't give the fuc.k about Africans&other races.

Yule Kashogi si aliuwawa ndani ya ubalozi wa uturuki wazungu waliifanya nini Saudi Arabia mpk sasa?

PK ana makando kando kibao lkn ndiye rais pekee anayeenda kupiga lectures huko kwa wazungu Harvard University,Cambridge,King's College etc,kila siku yuko huko Davos na hao hao wazungu na wala hawahaingiki nae.

Wanaweza kuishia kuweka tu hashtags huko twitter ndo nitolee hio.

Inshort,mimi naona wazungu hua wanaangalia maslahi yao tu kama hujawagusa wala hawahangaiki na wewe hata uuee raia wako nchi nzima wanapiga kimya kama hawaoni vile.,gusa maslahi yao sasa ndio utawajua vzr.

Let's wait&see mkuu.
 
Kwani yule mwanamuziki ilikuwaje alifia akiwa wapi?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kajiua yewe mwenyewe! Hakua na mvuto wowe yule au kazi yoyote ya kuisumbua serikali.
Kwani yule mwanamuziki ilikuwaje alifia akiwa wapi?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kajiua mwenyewe! Kuwa chochote kwa serikali,ni complex ya kua msani alietengeneza jina na kuharibika mda mfupi. Alijuta na kujiona hana maana tena kwa jamii.
 
Haki zifuatwe

Belgium wemkingiaga sana kifua huyo jamaa , Belgium walikataa katakata kumpeleka Rwanda akashtakiwe

Kama Kagame akitenda haki haitakuwa shida

Ogopa sana mtu medali ya kiraia ya juu kuliko zote ambayo mwanachi wa Marekani anaweza kupewa

Sasa Kagame akafanya umafia hapa atakutana na kibano, huyo jamaa amejipatia umaarufu sana na hilo tukio la hotel mille Des collines na hiyo medali iogope sana sana inamaana by defacto jamaa ni raia wa heshima wa USA
Ni sheria tu inafata mkondo wake! Alafu kua na uraia wa USA au belgium haumpi uwezo wa kwenda ku destabilise aliko toka.
 

Attachments

  • arton138976-915b1.jpg
    arton138976-915b1.jpg
    24.2 KB · Views: 1
  • 1-723.jpg
    1-723.jpg
    52.8 KB · Views: 1
  • 5-441.jpg
    5-441.jpg
    68.2 KB · Views: 1
Wanamtuhumu kwa kufadhili vikundi vya kigaidi nchini humo,ila kikubwa ni kumkosoa pia ndugu Paulo
Mbona mbowe na Lissu hawajakosoa kwa kuunda makundi ya kijeshi na kuua raia?
 
Kagame mwisho wake utakuwa mbaya sana..

Jinsi anavyoua watu na kuwaonea inajenga chuki kubwa.. rwandans wanahitaji peace.. na true peace inapatikana kwa kujenga taifa lenye upendo.. ila hii ya kila mhutu kupewa kesi na kufungwa ama kunyongwa inazidi ongeza chuki kwa wananchi.. akumbuke tu hakuna namba moja wa milele.. hii ni zamu yake kutawala ila kuna siku na yeye atatawaliwa ama ataingia mtegoni kama ghadaffi vile
Ni kweli! Watoke ma porini huko congo na waliyoko ulaya waje kujenga nchi Yao na sio kushambulia kijeshi. Waliyo shiliki kwenye genocide wana wadanganya wenzao wasirudi kwao eti wa takufaa bora waunde jeshi ndio watarudi kwa kukama nchi.
 
Sio kweli.Tatizo lake ni kuhubiri hata RPF walitekekeza Genocide against Hutus.
Sio kweli kwani we na yeye nani anakubali aliyoyafanya?mtafute YouTube akiongelea vikosi vyake huko porini. Calixte c alikua msemaji wa jeshi lake na chama chao?
 

Attachments

  • arton138976-915b1.jpg
    arton138976-915b1.jpg
    24.2 KB · Views: 1
  • 5-441.jpg
    5-441.jpg
    68.2 KB · Views: 1
  • 1-723.jpg
    1-723.jpg
    52.8 KB · Views: 1
Rwanda ukiwa kibaraka wa mabeberu kama alivyo Lissu PK akuwachi.aya mambo ya kutukana Rais na serikali yake yapo Tanzania,Rwanda ukithubutu utajuta wewe na kizazi chako.
 
Back
Top Bottom