Shujaa wa filamu ya 'Hotel Rwanda', Paul Rusesabagina ashikiliwa kwa mashtaka ya ugaidi

Rwanda ukiwa kibaraka wa mabeberu kama alivyo Lissu PK akuwachi.aya mambo ya kutukana Rais na serikali yake yapo Tanzania,Rwanda ukithubutu utajuta wewe na kizazi chako.
Hahah daah taratibu mzee baba,huyu aliyekamatwa naona ni raia kabisaa wa belgium na ni permanent resident wa US naona nchi hizo zimeanza kulalamika hazielewi 'alitekwaje' huko Dubai.
 
Watu wakiandamana habari nyingine hiyo

Maandamano ya raia wakipinga Vita ya Vietnam yalisaidia Serikali ya US ikaachana na Vita ya Vietnam

Hapa juzi maandamano yamefanya makubwa kuhusu polisi wa USA Serikali ikachukua hatua
 
Hahah daah taratibu mzee baba,huyu aliyekamatwa naona ni raia kabisaa wa belgium na ni permanent resident wa US naona nchi hizo zimeanza kulalamika hazielewi 'alitekwaje' huko Dubai.
Kagame ana akili marakumi zaidi ya akili za kawaida,kimbia popote pale hata ukifa atajua kaburi lako liko wapi,kama ni kufukua atafukua ilimradi tu mission yake itimie.
 
Rwanda ukiwa kibaraka wa mabeberu kama alivyo Lissu PK akuwachi.aya mambo ya kutukana Rais na serikali yake yapo Tanzania,Rwanda ukithubutu utajuta wewe na kizazi chako.
Sio hivo brother! Rwanda na Tanzania historia ziko tofauti sana! Najua lissu akiamua
Rwanda ukiwa kibaraka wa mabeberu kama alivyo Lissu PK akuwachi.aya mambo ya kutukana Rais na serikali yake yapo Tanzania,Rwanda ukithubutu utajuta wewe na kizazi chako.
Sio hivo brother! Rwanda na Tanzania historia ziko tofauti sana,mbona lissu anapigwa risasi mchana je akiunda kikosi cha kijeshi itakuje? Rwanda waliotekeleza mauaji wengiwao wako inje na niya Yao iko palepale.
 
Watu wakiandamana habari nyingine hiyo

Maandamano ya raia wakipinga Vita ya Vietnam yalisaidia Serikali ya US ikaachana na Vita ya Vietnam

Hapa juzi maandamano yamefanya makubwa kuhusu polisi wa USA Serikali ikachukua hatua

'Maandamano ya raia wakipinga Vita ya Vietnam yalisaidia Serikali ya US ikaachana na Vita ya Vietnam'

Maandamano yale yalikua influenced na vyombo vya usalama vyenyewe ili ipatikane Exit planning ya Us Kutoka Vietnam,usicheze na wanajeshi wa US 58,000 kuuwawa huku body bags zikirudishwa US kila siku.

US inaingilia sehemu kwenye maslahi tu,hao Rwanda walivyochinjana mpk kufikia karibu watu 1mil mbona haikufanya chochote kusaidia?Sababu ni hakuna chochote wanachokitaka Mafuta,madini,gas labda wangeishia kupata tu zile ndizi za kupika na kahawa.

'America has no permanent friends or enemies, only interests'-Henry Kissinger
 
Kagame ana akili marakumi zaidi ya akili za kawaida,kimbia popote pale hata ukifa atajua kaburi lako liko wapi,kama ni kufukua atafukua ilimradi tu mission yake itimie.
Rais anaejitambua analinda nchi kwa hali na mali. Alafu usalama wa Rais first ya siasa badae.
 
Ishu sio serikali issue ni raia

Serikali ya USA inataka raia wa US wasimiliki bunduki kiurahisi na waharamishe bunduki zenye uwezo wa kupiga rapid ,Raia hawataki hapa sasa ndio inakuja kuonekana nguvu ya raia
 
Issue nyingine huyo jamaa medali inambeba huwezi kumharass mtu ana medali ya juu ya kiraia ya US usitingishwe
 
Ishu sio serikali issue ni raia

Serikali ya USA inataka raia wa US wasimiliki bunduki kiurahisi na waharamishe bunduki zenye uwezo wa kupiga rapid ,Raia hawataki hapa sasa ndio inakuja kuonekana nguvu ya raia
Hapo raia hata waandamane kwa miaka 10 hakuna kitakachotokea,National Rifle Association(NRA) hao Obama aliwashindwa,Trump hawawezi,Maraisi waliopita waliwashindwa.

Mabingwa wakufanya Lobbying na wachangajia wakuu wao hao akina Trump/Biden kwny Kampeni zao.
 

I hate PK. Imetosha sasa. He doesn't heal the wounds of tribalism. He pours salty water almost every day. Atavuna anachopanda
 
Kagame ajiangalie huyo jamaa lazima wakubwa wa dunia wanamfuatilia Ana US highest civillian award inaitwa United States medal of freedom
PK is a criminal. Kwanini hataki wanyarwanda wengine waonekane?
 
Kagame ana akili marakumi zaidi ya akili za kawaida,kimbia popote pale hata ukifa atajua kaburi lako liko wapi,kama ni kufukua atafukua ilimradi tu mission yake itimie.

mbona misheni ya kumlipua kikwete haijatimia ? mbona mission ya kuipindua Burundi haijatimia.. anaonea wapuuzi wenzake wa rwanda tu< congo alisumbua sana ila baada ya Tanzania kupeleka majeshi tu chaliii
 
Kagame ana akili marakumi zaidi ya akili za kawaida,kimbia popote pale hata ukifa atajua kaburi lako liko wapi,kama ni kufukua atafukua ilimradi tu mission yake itimie.
Nadhani next target sasa itakua kwa yule aliyekua mkuu wa Majeshi aliyekimbilia S/Africa,nadhani ni 'big fish' aliyebakia akiwasumbua kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…