GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Poleni kwa msiba MkuuHaingii Akilini na pia si tu ni Ushamba pia ni Upumbavu ( Ujuha ) Watu tuko Ukumbini tena Karimjee Hall Msibani halafu Askari FFU Mwenye Silaha yake ya Kivita na Makolokolo yake Mwilini mwake akiwa ameielekezea Kwetu Waombolezaji huku akiwa Katukunjia Sura yake utadhani labda tuna Ugomvi nae.
Haiboi tu bali Inakera. Badilikeni.
Nakushukuru sana kwa kuhakikisha noise pollution imeisha kitaa na watu wanalala mapema. Hiyo mvua inabidi ihamie pia kule Algiers maana Watopolo wamesema wameshtukia janja yako, so wataenda kupindulia meza kule kule Uarabuni.Sijaenda Msibani ( Mazikoni ) ila Mzee wangu na Wazee wangu Walezi Butiku na Wassira na Dada yangu wameenda.
GENTAMYCINE nilibakia Dar es Salaam kwa Kazi Maalum ya kuleta Utulivu ulioko sasa nchini kwa Mwarabu Kushinda na Kumletea Mvua ambayo Adui yake ilimshinda na Kufungwa Goli 2 Safi kwa lao 1 walilolishabikia kwa Sekunde 10 tu
Shida Yako ni picha tuu!? Kama ulimuajiri photographer humu....Kapicha
Huna adabu bure kabisa weweShida Yako ni picha tuu!? Kama ulimuajiri photographer humu....
Haya eeh...picha hiyo hapo
Genta! Nchi hii ina upuuzi mwingi Sana!Haingii Akilini na pia si tu ni Ushamba pia ni Upumbavu ( Ujuha ) Watu tuko Ukumbini tena Karimjee Hall Msibani halafu Askari FFU Mwenye Silaha yake ya Kivita na Makolokolo yake Mwilini mwake akiwa ameielekezea Kwetu Waombolezaji huku akiwa Katukunjia Sura yake utadhani labda tuna Ugomvi nae.
Haiboi tu bali Inakera. Badilikeni Oky?
Nazani walikua hawaamini Kama kweli kafa, ndiyo maana wakawa wanajaribu ku buy time ili waone Kama anaweza aamkaa kutoka usingizini!!Huyu jamaa kafa mwezi mzima watu wanazurura tuu na maiti , daah waislamu chukeni maua yenu tuu hamna namna
Usinikumbushe ya Mwalimu Nyerere na Kingunge kule uingereza. Let them Rest Well.Nazani walikua hawaamini Kama kweli kafa, ndiyo maana wakawa wanajaribu ku buy time ili waone Kama anaweza aamkaa kutoka usingizini!!
Haaaaaaa ahaaaaaa JF oyeeeNilikaa ule upande lilipokuwa Gari la Kubeba Jeneza mbele yangu walikuwepo Wadada Wawili Warembo ambapo nilitaka Kuwatongoza Wote kwa nyakati tofauti tofauti ila nilipodokezwa tu kuwa kumbe ni Mahakimu Waandamizi nia yangu ya Kuwatongoza ikatoweka ghafla kwani kwa mbali nilianza kuyaona katika Fikra Magereza ya Ukonga, Keko na Segerea na kuhisi huenda ningewatongoza wangekereka wangenisweka huko na JamiiForums nikawa naisikia katika Bomba tu.