jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Masimango haya!!Wakipata hela wanakimbili ulaya wakifa wanarudishwa Africa,
Alafu maendeleo walete wawekezaji kazi kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masimango haya!!Wakipata hela wanakimbili ulaya wakifa wanarudishwa Africa,
Alafu maendeleo walete wawekezaji kazi kweli.
Aisee!!!!Na Mumeo pia nae nampa Shukran.
Kwa kweli, lile jenezaa ni hatariiiiiWahaya, Wanyaturu, Waha, Wanyarwanda, Warangi, Wakerewe na Wanyamwezi hawana Ubavu wa Kuzikwa katika Jeneza la Thamani kama lile kama Sisi Wazanaki Matajiri wa Akili. Ujasiri na Mali.
Rais wa Marekani Joe Biden kalitoa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Genta jamaniii.La Milioni 375 na yamekuja Matatu. Oya natania tu msije mkafunga Safari ya kwenda Busegwe Mkoani Mara mkayafukue muyaibe na mkayauze.
Sijaenda Msibani ( Mazikoni ) ila Mzee wangu na Wazee wangu Walezi Butiku na Wassira na Dada yangu wameenda.
GENTAMYCINE nilibakia Dar es Salaam kwa Kazi Maalum ya kuleta Utulivu ulioko sasa nchini kwa Mwarabu Kushinda na Kumletea Mvua ambayo Adui yake ilimshinda na Kufungwa Goli 2 Safi kwa lao 1 walilolishabikia kwa Sekunde 10 tu
Kwan wakiwa mahakimu wanazuiwa kukaa mguu pande.Nilikaa ule upande lilipokuwa Gari la Kubeba Jeneza mbele yangu walikuwepo Wadada Wawili Warembo ambapo nilitaka Kuwatongoza Wote kwa nyakati tofauti tofauti ila nilipodokezwa tu kuwa kumbe ni Mahakimu Waandamizi nia yangu ya Kuwatongoza ikatoweka ghafla kwani kwa mbali nilianza kuyaona katika Fikra Magereza ya Ukonga, Keko na Segerea na kuhisi huenda ningewatongoza wangekereka wangenisweka huko na JamiiForums nikawa naisikia katika Bomba tu.