Shukran Waziri Mkuu Majaliwa kujumuika nasi Karimjee Hall Kumuaga Wakili Mzee Mkono, ila hiki cha FFU wako sijakipenda

Kwa hyo ktk waombolezaji wote ulimuona majaliwa tu ndio anastahili shukran.
 
Wahaya, Wanyaturu, Waha, Wanyarwanda, Warangi, Wakerewe na Wanyamwezi hawana Ubavu wa Kuzikwa katika Jeneza la Thamani kama lile kama Sisi Wazanaki Matajiri wa Akili. Ujasiri na Mali.

Rais wa Marekani Joe Biden kalitoa.
Kwa kweli, lile jenezaa ni hatariiiii
 

Sasa mada za msiba mnaleta mi mambo yenu ya mpira
 
duh na makolokolo tena na hajatosjeka akawaelekezea silaha hahaaaaaaa bongo nyoso
 
Kwan wakiwa mahakimu wanazuiwa kukaa mguu pande.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…