Shukrani kwa Jamii Forums kwa kunipa Tuzo 🙏🏽

Cookie mbona sijakuona kweny picha leo
 
Mheshimiwa naomba unikopeshe buku 15 hapo... kuna mchongo masikilizia hapa kesho kutwa uwakika nakurudshia
 
Hongera sana kiongozi wetu kwa kuwa sehemu ya hii familia muhimu kwa ujenzi na ustawi wa taifa letu. Naamini tuzo hii itakuwa alama na taa kwa mawaziri wengine ambao pengine wizara na sekta wanazozisimamia zinahitaji masikio mengi ya kusikiliza kuliko ilivyo wizara yako na sekta zake. Mwenyezi Mungu aendelee kukuinua na kuendelea kukuweka karibu na wananchi
 
Hakika we ni kiongoz ambaye jf tunaweza kujivunia tunakupenda sna wazir
 
Ninakupongeza sana kwa kulipa nafasi hili jukwaa. Tunahitaji viongozi wanaofikika kwa njia zote na kufanyia kazi mambo yanayoibuliwa.

Naamini kupitia humu itakupa chachu na ubunifu katika uongozi wako.

Hongera sana mh waziri.
 
Mheshimiwa naomba unieleweshe kidogo kama huta kadirika, hivi wewe ni mke wa Josephat Gwajima.
 
Ila muheshimiwa hapo ulikuwa pambe sio kwa kupendeza huko

Anyway mimi mlokole uwe wa asili achana na mawigi

Last we mwamba sana unatukosha wabongo kwa kujibu mada tata kwa weredi Mungu akupe maisha marefu uwe mfano wa kuigwa

Dkt. Gwajima D
 
What humble words from humble super woman.
 
Bado sijaona kiongozi anayepokea ishu/ maoni kupitia digital platforms na kuzifanyia kazi zaidi yako.

I hope hii tuzo itawaamsha na wengine.

Hongera Mheshimiwa.
Kuna mmoja alikuwa kule Twitter (x) akawa akitofautiana na watoa maoni anaishia kumwaga matusi. Mzee wa goli la mkono. Sasa hivi yupo benchi
 
Bado sijaona kiongozi anayepokea ishu/ maoni kupitia digital platforms na kuzifanyia kazi zaidi yako.

I hope hii tuzo itawaamsha na wengine.

Hongera Mheshimiwa.
Kuna mmoja alikuwa kule Twitter (x) akawa akitofautiana na watoa maoni anaishia kumwaga matusi. Mzee wa goli la mkono. Sasa hivi yupo benchi
 
Mnatukwaza sana,Kila neno lazima mseme serikali inayoongozwa na .........

Kwani Kuna asiejua.
Mnatumia nguvu kumtajataja Kuna nn au ndo kujipendekeza mh.

Kila mwanaccm,hamwezi hata kutaja jina la Mungu kabula hajatanguliza Bibi,bibi,bibi,bibi.
Sijui mtakuja kujielewa Karne gani.
All in all hongera,ila sio Kila inshu lazima umtaje Rais.
Kiufupi,ccm ilifeli mda mrefu mjitafakari Mpo kwa maslahi yenu na sio ya Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…