Shukrani kwa Kikwete

Jamani ila tusimbeze jk maana ni rais aliyeweka historia kwa kujenga chuo kikuu cha dom, kuanzisha siasa za mtandao ktk ccm, kutumia familia yake kufanya kampeni na vinginevyo.
 

Mkuu if this is the case then tumekwisha!!
 
Watangaza nia mawaziri kila mmoja analia uchumi mgumu, je walifanya nini muda wote huo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…