Kitila,
It is frustrating kuona kuwa yani kila kona tunachechemea! Ukiangalia mfano wa BoT na Hazina, hawa jamaa wawili Mkulo na Ndulu wameshindwa kabisa kubadilisha dira ya Taifa ya uchumi. Mkulo haishi kushangilia misaada na kutamba kuhusu kusambaza bakuli, huku Ndulu anashindwa kutumia maarifa yake kumwambia bosi wake "funga mkanda, punguza matumizi, punguza ukubwa wa Serikali" na alichokifanya cha maana ni kila miezi mitatu kutoa takwimu bubu na sasa katuchaopishia noti mpya ambazo zimeshaibiwa kabla hata hazijawekwa kwenye mzunguko!