Shukrani kwa kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu, amefariki dunia

Shukrani kwa kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu, amefariki dunia

Utoto unakusumbua......jinga kabisa

Maana ukiwa Mkubwa huwezi kua jinga?

Ujinga haichagui umri,sasa wewe kujiweka level ya ukubwa kiumri haikupi uhalali wa kutokua jinga the same way alivyo mtoto!

Tena it is more shame mkubwa kua jinga!

Mtoto anaruhusiwa kua mjinga.He is being a kid.Huwezi ku-blame mtoto kwa kua mtoto,wewe ndio mpumbavu!
 
Mkuu,CIA mbona haina any correlation na haya tunayozungumzia?CIA/Kuomba/Internet/Mamdenyi/Wyatt Mathewson = Yaani hakuna uhusiano wowote...

CIA sio shirika la hela,ni shirika la upelelezi

CIA haina stake kwenye internet kiivyo,yenye stake hasa ni NSA

CIA haimtambui Mamdenyi wala Mathewson wala Sodoliki

CIA haina mahusiano yoyote na kutoa misaada ya kifedha,kwanza ni parastatal organization kwa serikali ya Marekani..

Sasa sijui ubongo wako umetoa wapi concept nzima ya CIA na ombaomba ya Mamndenyi!

So hilarious!

una tabia za kike....huwa zinasumbua sana
 
Maana ukiwa Mkubwa huwezi kua jinga?

Ujinga haichagui umri,sasa wewe kujiweka level ya ukubwa kiumri haikupi uhalali wa kutokua jinga the same way alivyo mtoto!

Tena it is more shame mkubwa kua jinga!

Mtoto anaruhusiwa kua mjinga.He is being a kid.Huwezi ku-blame mtoto kwa kua mtoto,wewe ndio mpumbavu!

Haya mambo ya ligi yanawafaa watoto wa kike
 
Mmoja wa wanawake waungwana hapa JF ni Mamndenyi.
jingalao na YEHODAYA mngeiga kwa huyu mwanamke mwenzenu mngeheshimika sana


hahhaha nakereka kucheka kwenye uzi wa msiba jaman !nimecheka had mama ananiambia unawezaje kucheka alone !dah!hv kumbe hao ni wenzetu??????
 
Salamu sana wana jamii wote.

Napenda kutoa shukrani zangu kwa wana familiya hii wote kutokana na kuitikia ombi langu la kunichangia nauli ya kwenda Mbeya kumuona mzazi mwenzangu aliyekuwa anaumwa.

Nilipata michango kiasi cha shilingi laki nne hivi. Niliweza kwenda na vijana wangu wawili.

Nilikuta amelazwa Hosp ya rufaa Mbeya. Nilifanikiwa kuongea naye na tulifanikiwa kushikana mikono na kutangaziana msamaha.

Tuliendelea Kuuguza na ilipofika 21/2 alifariki. Tulizika 23!2 tulimzika.

Nawashukuru sana. Mungu awabariki.
Pole sana. kwa hakika kazi ya Mungu hainamakosa.
 
Acha laana ya dua la kuku kwa mwewe!

Unaongea as if you are the cleanest person on earth!

Kuomba msaada wa bure ni tofauti na kuomba mkopo...

Mungu hana uhusiano wowote na ukisemacho kwenye post yako.

Kufiwa,kila siku tunafiwa na wapendwa wetu,kufiwa mimi sio shida yako,na kufiwa wewe sio shida yangu..usijifanye special kwa kufiwa!

Huwezi kujua nani kamtelekeza nani.Huwezi toa judgement in favor ya Mamdenyi wakati muhusika hayupo hapa.Huwenda Mandenyi ndio instigator aliemuacha mumewe..Always mnapitisha judgement blindly!No one is saint,either mwanaume au mwanamke!

Acheni ombaomba.com na mamdenyi wenu!
Mkuu umesikika basi kausha!
Waache waliojisikia kuotoa wametoa, ni hiyari yao hajawashurutishwa kwa bunduki.

Ni bora alie omba kuliko angefanya uhalifu au kuuza utu wake sababu ya shida ambazo anaweza kusaidiwa na jirani zake( Jirani ni JF members na wengineo).

Wakati mwingine busara au utamaduni mzuri ni kukaa kimya tu.
 
Mkuu umesikika basi kausha!
Waache waliojisikia kuotoa wametoa, ni hiyari yao hajawashurutishwa kwa bunduki.

Ni bora alie omba kuliko angefanya uhalifu au kuuza utu wake sababu ya shida ambazo anaweza kusaidiwa na jirani zake( Jirani ni JF members na wengineo).

Wakati mwingine busara au utamaduni mzuri ni kukaa kimya tu.


Titicomb

Nakuelewa.

Ila pia kunyamaza sio eti ni busara kila siku vilevile!

Kaomba sawa,freely..na mimi nimetoa yangu,freely...sio tatizo!

Ombaomba na uhalifu vyote ni makosa!Hakuna eti mavi makubwa na mavi madogo,yote mavi mkuu!

Peace!
 
Nani kakwambia Mamdenyi hana kipato?

Who have a proof of this?I do not have,and you don have either!So shut up!

Nani kakwambia nina kipato?U don know me,I don know you!So shut up!

Watu wa JF wanaishi kifamilia?How on this earth you are generalizing this much?Sema kuna grupu la watu humu JF tunaishi kama familia,then mfungue grupu lenu muwe mnaweka thread zenu za kusaidiana na sio mnafungua kwenye public platform kama hapa.Ongeeni na Invincible awafungulie hamna mtu atawafuata!

Maisha yako ni yako,kwanini unataka kututwisha maisha yako kwa kigezo cha "eti tunaishi kifamilia"?

Ni hivi,Mamdenyi ni professional beggar,hii si mara ya kwanza kuomba misaada...lazima tuwe na ustaarabu kama society inayoendelea,kila mtu akifungua thread ya kuomba nauli JF itakua matonya.com!

Tabia za kivulana unasema wewe,kutokana na judgement ya ubongo wako binafsi,una haki hiyo!Ni safi unatumia haki yako,una uhuru hadi wa ku-provoke wenzako,huo ndio uhuru safi!
Kuna Tatizo zaidi ya hili.... Sio bure. Ila pole kaka.... Nashauri pia uwaone wataalamu wa afya ya akili. ....watakusaidia....
 
Kuna Tatizo zaidi ya hili.... Sio bure. Ila pole kaka.... Nashauri pia uwaone wataalamu wa afya ya akili. ....watakusaidia....


Yaani mtu akiwa kinyume na ukitakacho wewe akaone daktari?

Una uhakika gani sio wewe ukawaone madaktari na mimi ndio niende?Umetumia kipimo gani?

Mbona mnajipa umiliki wa morality?Kwamba mpo moral sana zaidi ya wapingao?

Kwahiyo ukitakacho wewe ndio measuring unit ya sanity?

Mbona madikteta hivi?Jeeezzz!
 
NEC ya moyo wako imeshatangaza kuanza kwa mchakato wa uchaguzi jimboni?
 
NEC ya moyo wako imeshatangaza kuanza kwa mchakato wa uchaguzi jimboni?
 
NEC ya moyo wako imeshatangaza kuanza kwa mchakato wa uchaguzi jimboni?
 
Back
Top Bottom