SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS

Wanatafuta linki mpwa. Subiri utajibiwa usiwe na haraka.

Mi naona tuonane hapo shimo la udongo tuzimue mpwa. Hawa walimu wetu naona wameshindwa kutukonvisi. Leo utakunywa nini mpwa?

haya wajameni someni hapo juu niemwawekea kabisa manake naona ndo tulivozoea hapa! mkimaliza kusoma ndo twende shimo la udongo...ndovu baridi kwangu, baba Askofu yeye divai ya moto ( I love this)
 
Akibaki baba/Mama na watoto, siku ya mazishi tutatangaza ameacha Mke/Mume na watoto Kadhaa.... lakini akibaki Baba/Mama peke yake tutatangaza ameacha Mke/Mume... then utasikia watu wananong'ona... "hawakuwa na watoto?"

Safi sana! Sasa jibu swali: Wanaobakia inakuwa si familia tena? Hiyo ndiyo hoja kuu hapo mhashamu!
 
Akibaki baba/Mama na watoto, siku ya mazishi tutatangaza ameacha Mke/Mume na watoto Kadhaa.... lakini akibaki Baba/Mama peke yake tutatangaza ameacha Mke/Mume... then utasikia watu wananong'ona... "hawakuwa na watoto?"

Senks! taratiibu wanaelewa sasa......πŸ˜€
 

Kaizer, kuna dada hapa ofcn, ameishi na mwanaume for 5 yrs then wakaoana 2008, kila siku analia kuhusu mtoto, akipitisha siku 2 bila kuona period anadhani ana mimba anaanza kulamba ndimu, akipata period anaanza kulia... then akasikia kuwa mume wake ana mtoto nje, kidogo afe ofisini... ni shida kweli kwenye jamii yetu nakwambia
 
Senks! taratiibu wanaelewa sasa......πŸ˜€

Homeboi; Mama Matesha akifariki (Mungu apitishe mbali), nakuwa sina familia tena? Hapa ndipo pananitatiza kwa sasa.
 
Safi sana! Sasa jibu swali: Wanaobakia inakuwa si familia tena? Hiyo ndiyo hoja kuu hapo mhashamu!

Akibaki Mama/Baba na watoto - tutaita familia ya fulani.... Akibaki Baba/Mama peke yake tunaita Mke/Mume wa fulani
 
Kaizer, kuna dada hapa ofcn, ameishi na mwanaume for 5 yrs then wakaoana 2008, kila siku analia kuhusu mtoto, akipitisha siku 2 bila

Mwambie kupata watoto ni majaaliwa asilazimishe
 
Charity and Lily Flower...vipi mbona mnatupiga chabo tu wajameni semeni neno!

Homeboi hebu nijibu hapa kabla sijachanganyikiwa zaidi. Geoff na Mshiki wale uliowashuhudia ndoa yao pale Makambako, si familia ile?
 
Homeboi; Mama Matesha akifariki (Mungu apitishe mbali), nakuwa sina familia tena? Hapa ndipo pananitatiza kwa sasa.


dah na kweli Mungu apishie mbali AMEN

Hiyo itaitwa CONSANGUINEAL. ni aina ya familia hommie. "A consanguineal family consists of a parent and his or her children, and other people." (emphasis added) ( Source: [ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Family[/ame])

sasa hapo ni notwithstanding the cause of the absence of one of the parents.

sasa twende tukazimu hommie
 
sasa ninyi mnalazimisha nin?????...
watoto sio interest yangu jamani
 
halafu kama mimi sina huo uwezo wa kumpa mimba mshiki?........
 


Askofu, huo ndio ukweli, nadhani hilola watoto limeshaeleweka hapa......sasa wamebaki kwenye maana ya familia na nimeshawaelezea lakini kama kawaida watazunguka zunguka tu!
 

Naomba basi umweleweshe na mhashamu askofu afu tukutane JJ. Naona sasa tunaongea lugha moja.
 
Homeboi hebu nijibu hapa kabla sijachanganyikiwa zaidi. Geoff na Mshiki wale uliowashuhudia ndoa yao pale Makambako, si familia ile?


hommie wataka niseme ambayo hayapo kwenye maandiko? kama ukisoma ile link utakuwa umeshapata jibu bana!πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…