SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS

SHUKRANI!.....thank you JAMIIFORUMS

Unapojitambulisha ugenini sehemu unasema "nimekuja na mke wangu" sio "nimekuja na familia yangu"

Hehehe sasa mama akifariki na akabaki baba na watoto inakuwa familia au nn?
 
Unapojitambulisha ugenini sehemu unasema "nimekuja na mke wangu" sio "nimekuja na familia yangu"

Hapa si kujitambulisha bandugu. Naulizia uhalali wa kuitambua kama ni familia au la! Naweza nijitambulishe ugenini pia kuwa nimekuja na mke wangu na mtoto wangu. Si lazima utambilishe nimekuja na familia. Hapa nilitaka kujua unapokuwa na mkeo na bahati mbaya hamjapata mtoto au mtoto wenu ametangulia mbele ya haki, hiyo haitambuliki kama FAMILIA?
 
Si umeona kijana unavoanguka pointi leo? Ngoja kaizer na askofu wanifafanulie na hii.

Hahahaha hawana jibu hapo.
Eti familia ni baba, mama na watoto sasa pindi mmoja anapotoweka inakuwa nn sio familia tena?
 
Classical definition. Nimempa link akasome mwenyewe lakini najua atakuwa ameipotezea tu!😀

Hahaha! Homeboi sijaipotezea bana! LOL! Hebu niambie na hii. Mimi niko kwenye familia yangu au ya baba yangu? Mi ni mtoto wa baba ambaye bado yuko hai na mama pia. Lakini pia nina mke na watoto. Sasa niko kwenye familia yangu au familia ya baba?
 
Nasikitika nimesahau kale kabiblia kangu. Ntaipitia baadaye. Lakini ukweli ni huu: NCHI NA VYOTE VIIJAZAVYO NI MPANGO WA MUNGU NA NI MALI YAKE PIA.

Sasa wanandoa wanapokosa mtoto na talaka ndo imepigwa ban bado still tuna courage ya kumuuliza mtu MBONA HUJAPATA MTOTO na ndoa yako ina miaka miwili sasa?

haha hommie NIMEKUELEWA.Siku nyingine bana usiulize kama huna reference at hand😀

hapo kwenye red....hoja imeshajibiwa more than twice nadhani, inategemea wamekosa kwa sababu gani lakini hakuna sababu ambayo ni justifiable kwa wao kuachana..hakuna kudumisha mila

huyu wa kwetu bado hajafikia huko...ndo maan akijamii hatuwezi kumhoji kwa sasa....ila muda utafika tu tuulizie 'ee bana vipi ndio mpango wa Mungu ama vipi'?😀
 
Hahahaha hawana jibu hapo.
Eti familia ni baba, mama na watoto sasa pindi mmoja anapotoweka inakuwa nn sio familia tena?

Wanatafuta linki mpwa. Subiri utajibiwa usiwe na haraka.
 
Hehehe sasa mama akifariki na akabaki baba na watoto inakuwa familia au nn?

Fidel acha kuleta kiswahili murefu.... umeshasema watoto sio lazima, sasa mama akifariki si anabaki baba, kumbuka hawana mtoto
 
Hapa si kujitambulisha bandugu. Naulizia uhalali wa kuitambua kama ni familia au la! Naweza nijitambulishe ugenini pia kuwa nimekuja na mke wangu na mtoto wangu. Si lazima utambilishe nimekuja na familia. Hapa nilitaka kujua unapokuwa na mkeo na bahati mbaya hamjapata mtoto au mtoto wenu ametangulia mbele ya haki, hiyo haitambuliki kama FAMILIA?

Mtoto atoke wapi wakati umesema sio lazima mtoto?? Unasema Mimi naitwa Ndg. X-pin na nimeambatana na mke wangu... nani vile?
 
haha hommie NIMEKUELEWA.Siku nyingine bana usiulize kama huna reference at hand😀

hapo kwenye red....hoja imeshajibiwa more than twice nadhani, inategemea wamekosa kwa sababu gani lakini hakuna sababu ambayo ni justifiable kwa wao kuachana..hakuna kudumisha mila

huyu wa kwetu bado hajafikia huko...ndo maan akijamii hatuwezi kumhoji kwa sasa....ila muda utafika tu tuulizie 'ee bana vipi ndio mpango wa Mungu ama vipi'?😀

Hahaha hommie bana. Sijui ndo maana nauliza.

Hapo kwenye red,I hope utakuwa ushapata vitu kadhaa vya baridi kichwani ndo upate kareji hiyo. Manake nshashuhudia mtu kaulizwa hivyo badala ya kujibu akaangua kilio.
 
Fidel acha kuleta kiswahili murefu.... umeshasema watoto sio lazima, sasa mama akifariki si anabaki baba, kumbuka hawana mtoto

Hehehe sisi tunasema familia inaanza na baba na mama hao watoto kuwapata kwanza ni majaaliwa.
 
Mtoto atoke wapi wakati umesema sio lazima mtoto?? Unasema Mimi naitwa Ndg. X-pin na nimeambatana na mke wangu... nani vile?

Nadhani hujaelewa. Wewe ulisema familia ni baba, mama na watoto. Sasa katika kuchalenji definition yako, Fidel akakuuliza katika hiyo definition yako, inapotokea mama amefariki, inakuwa si familia tena? Au watoto wamefariki inakuwa si familia tena? Hapo ndipo tunapotaka ufafanuzi mhashamu askofu.
 
Hehehe sisi tunasema familia inaanza na baba na mama hao watoto kuwapata kwanza ni majaaliwa.

Tunasubiri 2011 kama ulivyoahidi... halafu 2012 tunakuuliza.... kwani huko unakodumisha mila (kati ya wale 6) hakuna hata wa kusingiziwa kwamba mpira ulipasuka?
 
Hehehe sasa mama akifariki na akabaki baba na watoto inakuwa familia au nn?

Hapa nilitaka kujua unapokuwa na mkeo na bahati mbaya hamjapata mtoto au mtoto wenu ametangulia mbele ya haki, hiyo haitambuliki kama FAMILIA?

Si umeona kijana unavoanguka pointi leo? Ngoja kaizer na askofu wanifafanulie na hii.

"Family is a group of [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/People"]people[/ame] or [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Animals"]animals[/ame] (many species form the equivalent of a human family wherein the adults care for the young) affiliated by [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Consanguinity"]consanguinity[/ame], affinity or [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Household"]co-residence[/ame]. " (emphasis added)
"One of the primary functions of the family is to produce and reproduce persons—biologically and socially" (emphasis added)

"However, producing children is not the only function of the family; in societies with a sexual division of labor, [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Marriage"]marriage[/ame], and the resulting relationship between two people, is necessary for the formation of an economically productive [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Household"]household[/ame]." (emphasis added)

"A conjugal family includes only the husband, the wife, and unmarried children who are not of age. The most common form of this family is regularly referred to in [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Sociology"]sociology[/ame] as a [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Nuclear_family"]nuclear family[/ame]."

http://en.wikipedia.org/wiki/Family#cite_note-7
"A consanguineal family consists of a parent and his or her children, and other people."
"A matrilocal family consists of a [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Mother"]mother[/ame] and her children."

Source :[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Family[/ame]
 
Hehehe sisi tunasema familia inaanza na baba na mama hao watoto kuwapata kwanza ni majaaliwa.

Mi naona tuonane hapo shimo la udongo tuzimue mpwa. Hawa walimu wetu naona wameshindwa kutukonvisi. Leo utakunywa nini mpwa?
 
Tunasubiri 2011 kama ulivyoahidi... halafu 2012 tunakuuliza.... kwani huko unakodumisha mila (kati ya wale 6) hakuna hata wa kusingiziwa kwamba mpira ulipasuka?

Hahahaha mi 2012 sio 2011 ndo maana sina haraka sihitaji watoto nacho hitaji ni upendo kwa mwanamke.
 
Hahaha hommie bana. Sijui ndo maana nauliza.

Hapo kwenye red,I hope utakuwa ushapata vitu kadhaa vya baridi kichwani ndo upate kareji hiyo. Manake nshashuhudia mtu kaulizwa hivyo badala ya kujibu akaangua kilio.

hahahaha hommie nimecheka hapa mbavu sina

On a serious note, ndio maana KIMILA hawaulizi watu tu wa ovyo ovyo na kuna taratibu zake, na actually background checks huwa zimeshafanywa ili kukwepa hayo

Hommie nakwambia kuna ndoa moja naijua 10yrs hakuna hata dalili ya mtoto! wwpte wako frustrated kwa vile kwa upande mmoja, hawawezi kuachana na upande mwingine, kila mtu anawatolea macho! dah
 
Nadhani hujaelewa. Wewe ulisema familia ni baba, mama na watoto. Sasa katika kuchalenji definition yako, Fidel akakuuliza katika hiyo definition yako, inapotokea mama amefariki, inakuwa si familia tena? Au watoto wamefariki inakuwa si familia tena? Hapo ndipo tunapotaka ufafanuzi mhashamu askofu.

Akibaki baba/Mama na watoto, siku ya mazishi tutatangaza ameacha Mke/Mume na watoto Kadhaa.... lakini akibaki Baba/Mama peke yake tutatangaza ameacha Mke/Mume... then utasikia watu wananong'ona... "hawakuwa na watoto?"
 
"Family is a group of people or animals (many species form the equivalent of a human family wherein the adults care for the young) affiliated by consanguinity, affinity or co-residence. " (emphasis added)
"One of the primary functions of the family is to produce and reproduce persons—biologically and socially" (emphasis added)

"However, producing children is not the only function of the family; in societies with a sexual division of labor, marriage, and the resulting relationship between two people, is necessary for the formation of an economically productive household." (emphasis added)

"A conjugal family includes only the husband, the wife, and unmarried children who are not of age. The most common form of this family is regularly referred to in sociology as a nuclear family."


"A consanguineal family consists of a parent and his or her children, and other people."
"A matrilocal family consists of a mother and her children."

Source :http://en.wikipedia.org/wiki/Family

Need we say / ask more?
 
Back
Top Bottom