Nyama ya kuchoma ya wow wow wow!
JF kiboko!
Just thinking from the other angle!
kwa usalama wako tutakwenda wote...just for your protection not otherwise oooo
Hili neno nakumbuka nililisikia pale USALULE guest house. Nikipata nauli ntarudi pale.
Homeboy kuna fumbo lolote kwenye hiyo red? Nimesahau miwani yangu leo.......
.....He!he!he!he! mngeenda pale Saratoga au Unyamule mngeyapata mengi sana ya aina hiyo........!
.....He!he!he!he! mngeenda pale Saratoga au Unyamule mngeyapata mengi sana ya aina hiyo........!
hhhahahahahaha..we umeliona homeboy>?
hahaha! Mamushka and her pako to makambako with love! Ila upunguze unoko nawee!
unoko hapa 'given' kupunguza haipo hiyo
labda tubadilishe formula kabisa which i don see that happening....
bila mawani bana nakuwa slow learner sana. Afu homeboi nakujuaga unaweza kusema mto ukimaanisha bahari.
unoko hapa 'given' kupunguza haipo hiyo
labda tubadilishe formula kabisa which i don see that happening....
Ngoja nikutafutie mjukuu labda utakuwa bize unalea!
Bila mawani bana nakuwa slow learner sana. Afu homeboi nakujuaga unaweza kusema mto ukimaanisha bahari.
athari za mirindimo ya pwani
B wa ukweli itakuwa formula au role kabisa?π hehehe make sure tuko duly informedπ
hahaaaa jaribu uone.....
hahaaaaa his favorite hiyo hapoooooooooAlamba alamba aaaam ammmm!
Baridiii baridiiiiii
B wa ukweli itakuwa formula au role kabisa?π hehehe make sure tuko duly informedπ
Tatizo tulikuwa bize tunamfanyia ulinzi homeboi wako asihamishie mapenzi kwenye valuu zaidi ya waifu. Si unajua kijana amezaliwa kwa ajili ya kunywa valuu?
Kiongozi acha kabisa! mambo ya usangule! durban! midtown, cape town! stendi! dah...
B unamtosha pako ama nini LOL