kwi! Kwi! Kwi!Lengo halisi la kugombea Urais TFF wewe wenyewe ndiyo unalijua moyoni.
Angalizo:
1. Tumikia Taifa usileta uyanga kweny kuongoza TFF.
2. Timiza ahadi ulizo ahadi
3. Usilete ubaguzi wa aina yoyote
4. Pambana wa 'wapigaji'
mkuu Crashwise, kama ulivosema kwenye ule uzi mwingine, jf sasa inajivunia kuwa na member aliyechaguliwa moja kwa moja kushika nafasi ya juu na kampeini zake kwa kiasi fulani zikiwa zimepitia hapa hapa jamvini.tunakutakia mafanikio mema, uyanga wako weka pembeni..
'Wahandisi' au WAANDISHI wa habari. Kuna tofauti kubwa hapo kaka. Yote kwa yote umeeleweka vema ulichokusudia kutueleza.Vp uchaguz ulikuwa huru na wa haki? ??If so,kwanini mliwatoa wahandishi wa habari nje? ?
Mkuu ungetufafanulia ni ni adhabu gani zilizotolewa msamaha, isije kuwa siasa zinahamia kwenye mpira.!!![h=5]Change WE CAN, Jana Rais Mpya alianza kwa kuvunja kamati zote..... yaani sasa kamati zitaundwa upya, Pili ametoa msamaha kwa wafungwa wote isipokuwa wale tuu wenye makosa ya rushwa na kupanga matokeo
CHANGE @ TFF is on the Corner
TUST WE CAN[/h]
Akimaliz tym yake nafwata mimi hihihiiiiiiiii
Hongera sana manfesto yenu mjaribu kuyatimiza.
Zawadi kubwa ninayotarajia ni Kuiona Taifa stars wakicheza kombe la Africa na la Dunia kwa maandalizi yako mazuri 2018