Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi federation mpaka inaanzishwa kazi zake ni zipi????!!!!!!
Why vipaumbele tuweke sisi na Rais??!!!!!!
Ufafanuzi please
kwani ni nani huyuni kweli kabisa ndugu yangu tumechoka sana kuwa wasindikizaji tuuuuuuu miaka nenda miaka rudi sasa hebu huyu memba mwenzetu alifanyie kazi swala hili
Mission, vision na objective, long term and short term???
Labda anataka kujua watz kipaumbele kwao ni kipi zaidi. At the same time, kabla hajaja na sred hiyo, ni bora kujua kwanza aliyekuepo alikuwa anafanya nini na vipaumbele vilivyokuwepo ni vipi. Labda kuna miradi ilikuwa, iko kwenye hatua gani? Na kama gharama ya kubadili vipaumbele ni kiasi gani?
Kuomba maoni si kitu rahisi hivyo, lazima ujiridhishe kama kweli unahitaji aoni hayo kwa wakti huo, vinginevyo mwisho wa siku, tulinganisha utendaji wake na maoni tuliyotoa.
hongera sana mkuundugu zangu nashukuru uchaguzi tumemaliza salama na mimi nimeshinda. Nichukue fursa hii kuwashukuru wapenzi na wadau wote wa mpira miguu ambao kwa namna moja au nyingine wameshiriki kwenye mchakato.
Siku chache zijazo nitafungua thread hapa nikiomba maoni na mapendekezo yenu kuhusu ni jinsi gani tutaimarisha timu yetu ya taifa kwa ajili ya afcon qualifiers novemba mwaka ujao.tafadhali jiandae kuchangia.
Malinzi
I dont buy the idea ya mtu kugombea na.kushinda position kubwa kwa nchi halafu yeye kabla hajakaa ofisini anauliza wadau wanataka nini!!!
Mathalani wengi waseme hatutaki timu ya taifa ya football na badala yake tuanzishe timu ya taifa ya sumo yeye anakaa upande upi wa mzani???!!!
Habu aende ofisini atuletee work plan na time schedule tutaweka michango!!!!
Wapemba wanasema nyongeza huwekwa juu ya fungu!!!!!
Hongera Jamal Malinzi na tunasubiri kwanza huo uzi wako tujue tunajipangaje na tunaomba vile vile uwe unatembelea humu mara kwa mara kutupa mrejesho wa yale utakayoulizwa
naunganga na gfsonwin katika kusubiri utupe mikakati uliyo nayo haswa kwa vilabu vyetu na timu ya taifa tuache kuwa wasindikizaji kila mashindano na tuone tunavuka kwenda hatua za fainali tuache kuishia huku chini kila mashindano
kweli kabisa mdau tumechoka kuwa wasindikizaji tunataka kuondokana na hali hii miaka nenda miaka rudi
kwani ni nani huyu
Ndugu zangu nashukuru uchaguzi tumemaliza salama na mimi nimeshinda. Nichukue fursa hii kuwashukuru wapenzi na wadau wote wa mpira miguu ambao kwa namna moja au nyingine wameshiriki kwenye mchakato.
Siku chache zijazo nitafungua thread hapa nikiomba maoni na mapendekezo yenu kuhusu ni jinsi gani tutaimarisha timu yetu ya Taifa kwa ajili ya AFCON qualifiers Novemba mwaka ujao.
Tafadhali jiandae kuchangia.
Malinzi
Watanzania bwana. Wanapenda kumaliza hasira za matatizo yao kwa watu wengine.I dont buy the idea ya mtu kugombea na.kushinda position kubwa kwa nchi halafu yeye kabla hajakaa ofisini anauliza wadau wanataka nini!!!
Mathalani wengi waseme hatutaki timu ya taifa ya football na badala yake tuanzishe timu ya taifa ya sumo yeye anakaa upande upi wa mzani???!!!
Habu aende ofisini atuletee work plan na time schedule tutaweka michango!!!!
Wapemba wanasema nyongeza huwekwa juu ya fungu!!!!!