Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
siriaz?
Haswaaaa anaenda kula kozi ya uchungaji jinsi ya kenena neno. Sijui nae atanunua Hammer!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siriaz?
at laaaaaaaast DUDE ndani ya nyumba!
leo ulizitupa nyavu pande za mbali sana maanake ndo unarudi
Nawashukuru wote hapo naaga Zenj kwa pembeni niko na tunda wangu Mzeenj
Wapwa bado mpo Mzalendo pub? hahahahaahh Fidel alikuwa kama kazima hivi
HAHAHA!mmekutana lini?Haswaaaa anaenda kula kozi ya uchungaji jinsi ya kenena neno. Sijui nae atanunua Hammer!
Duh afadhari kama umefika salama.
Vp pweza na ulojo umebeba kwa wingi?
Hahahaha mpwa Xpin ndo alizima mm mzee wa mix iwa nazima nikifika mlangoni.
huyu masaa 24 huwa anakuwa kilaji!...........Wapwa bado mpo Mzalendo pub? hahahahaahh Fidel alikuwa kama kazima hivi
Nilibeba mwanakwetu pamoja na ukwaju na ubuyu!
Ulienda choo cha kike wasi wasi ulitujaa baada ya kuona Eliza naye anakufuata
Hehehe dah hapo raha tupu vp mambo ya mwambao kuna kibao cha Pole Samaki ulikinunua mpwa?
HAHAHA!mmekutana lini?
Asante sana kwa hapa nina laki moja cash ,ila kuna watu wamepromiss kunipa so tumewapa mpaka friday ili tukabidhi so by friday nadhani itakuwa siku muafaka kuwatafuta hawa watu,thx for evything and we willl possibly communicate with them,Tuko pamoja,Gud dei
hehehe!HOMMY jana text yangu hukuipata?😀......thought na ww ulikuwepo.......?
jamani ,bujibuji,masaki,jenny,baba enock,drphone,gkundi,mmeona hii?so tunafanyaje?tukubaliane tutaenda kukabidhi lini na tunakutana wapi?it has tu be before saturday maana jmosi tuna ile safari au mnasemaje?nasubiri maoni yenu
Mzalendo Pearl;
Kama uko Tanzania na hasa Dar Es Salaam; unaweza kuwakilisha michango yako kwa Maxence wa JF: 0713 444 649; Au Issa Michuzi: 0754 271 266 au kwa Emmanuel Mmari wa TPN: Contacts:
1. Number: 0715 740 047
2. Ofisi za TPN: Barabara ya Nyerere; Jengo la TOHS; Ghorofa ya kwanza,
karibu na TBC (RTD)
3. Vodacom: 0768 777 888
4. Zantel: 0773 88 18 88
5. Zain: 0784 00 88 99
ok basi tutawasiliana hiyo ijumaa
ok basi tutawasiliana hiyo ijumaa
hehehe!HOMMY jana text yangu hukuipata?😀
yaah!tunaendelea kuzipitia terms and conditions tuone kama tunaweza fanya kaziDaaaah jana nilitumbukia kny dumu la Tusker.....so sijui kama niliipokea mzee.......! Vipi mewasilianana Pearl?