Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 584
- 767
- Thread starter
- #21
🦾🦾Kuna binadamu asie kela , huyu ni binadamu kama WENGINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🦾🦾Kuna binadamu asie kela , huyu ni binadamu kama WENGINE
Wanaowadhihaki walimu wana hoja ya msingi naona Kuna jambo wanajaribu kulifikisha!Sorry mi siyo mwalimu huo uhusika unaonipa siyo pw
Unasema kwamba.....Umaeandika kama mbunge wa ccm anayeanza kwa kuipongeza serikali halafu anataja madudu ambayo serikali haijawajibika halafu mwishoni anaunga mkono hoja kwa 100%
Walimu shida yao wengi ni kutocheza nje ya box lakni wengi wenye biashara zingine nje ya ualimu wametusua na wanamaisha mazur piaKama malipo hayaendani na kazi unayofanya kwanini usiache ukatafuta yenye maslahi mazuri?
Nina wasiwasi na wewe huenda ndio walewaleWanaowadhihaki walimu wana hoja ya msingi naona Kuna jambo wanajaribu kulifikisha!
Kama wewe sio mwalimu ni vema ukakaa Kimya usubiri walimu wajibu mapigo maana huenda kukaa Kimya kwa walimu kunamaanisha wanakubaliana na yanayosemwa
Nahis umenielewa vzr sema umekaza fuvuNina wasiwasi na wewe huenda ndio walewale
Tulia Sasa.Mi siyo ticha nahisi nishakueleza mwanzo kabisa wa post
Tulia wewe le tichaHabari wa wakati huu JF members. Na imani mkoa powa sana, niende moja kwa moja kwenye jambo lililonifanya nipost kwma mara ya kwanza humu JF.
Mimi siyo mwalimu na sijawahi kuwa mwalimu na ndoto ya kuwa mwalimu lakini hili swala la wanajf kuwatukana walimu ni mambo ya ushamba na ujinga uliokithiri huwezi kuwatukana walimu, hawa ni watu wanatakiwa kujaliwa na kuangaliwa sana, just imagine mtu alikufundisha na kukutoa ujinga na upumbavu mwingi tena walikuonyeaha njia ya kupita ili uwe mtoto mwema na mzuri.
Walimu walituchapa pale tulipochelewa shule yote haya ni kuzihimiza kuutunza muda vizuri lakini leo MWANAJF mmoja mjinga anakuja na kuwatukan na kuwadhihaki hakumbuki kama hata hiyo akili aliyotumia kuandika huo uzi aliyemfundisha ni huyo mwalimu anayemtukana kwamba hawajilewi.
JF tunaomba hawa vijana wa hovyo wanaosapoti hizo uzi wapigwe ban hata ya mwezi maana wanawadharirisha sana.
Acheni mihemko isiyokuwa na maana wala tija yoyote, nasema tena acheni mihemko ya kijinga sitaki kuwatukana ila mnakera sana tena sana. Huyo anayesapoti huo ujinga huenda ni wendawazimu.
Rai yangu kwa wana JF muache kuwatukana walimu hivyo. Hawa walimu wana upendo sana imagine mtu anawaomba watoto wako wasifunge shule bali wabaki waaome hivi huoni kama ni upendo uliokithiri. Halafu limtu ambalo halifikiri linakuja from nowhere linasema walimu hawajilewi wewe ndiyo hujielewi na inabidi ukpimwe akili yako huenda ina mapungufu mengi.
Serikali pia iwaangalie walimu wana mishahara midogo sana ambayo haiendani na kazi wanayoifanya yaani kutwa nacheza na watoto mitoto mingine mitundu mwalimu anawafanya kuwa wema na wenye busara. Juzi nilienda shule X kuchukua doc fulani ivi nikaona nimwachie mwalimu ata 5000/= daah alinishukuru sana mpaka nikashangaa duuh aisee iliniuma ile wanaipenda lakini Watu hamuwapendi.
ACHENI MIHEMKO YA AJABU AMBAYO HAINA MAANA NA TIJA YOYOTE
Umeandika kwa kuwadhalilisha waliokufundisha ukijinadi unawatetea........JF tunaomba hawa vijana wa hovyo wanaosapoti hizo uzi wapigwe ban hata ya mwezi maana wanawadharirisha sana.
......
The way unavyotafsiri ni tofauti na nilivyokusudiaUmeandika kwa kuwadhalilisha waliokufundisha ukijinadi unawatetea.
Hapo kwenye bold unamaanisha nini
Wakisemwa ndiyo watajirekebisha udhaifu wao.Unaonekana ukisemwa kidogo utajinyonga wewe!Wanazingua
Anawashtua kidogo wasipaliwe na vumbi la chaki na washikilie vizuri vishkwambi visiporwe na vibaka.Jamaa sijui walimu walimkosea nini asee
Ulikusudia niniThe way unavyotafsiri ni tofauti na nilivyokusudia