Shukurani ya Punda ni Mateke, aliyefundishwa na Mwalimu leo ni wa kwanza kumtukana Mwalimu

Shukurani ya Punda ni Mateke, aliyefundishwa na Mwalimu leo ni wa kwanza kumtukana Mwalimu

Sorry mi siyo mwalimu huo uhusika unaonipa siyo pw
Wanaowadhihaki walimu wana hoja ya msingi naona Kuna jambo wanajaribu kulifikisha!

Kama wewe sio mwalimu ni vema ukakaa Kimya usubiri walimu wajibu mapigo maana huenda kukaa Kimya kwa walimu kunamaanisha wanakubaliana na yanayosemwa
 
UMEONGEA FACTS MAPUNGUfu YA KADA YA UALIMU YANAONEKANA KWAKUW WALIMU WAPO KUANZIA NGAZI YA TAIFA HADI KIJIJI/MTAA

LAKN UNAPOKUJA KUATAK PROFESSIONAL YA UALIMU AU WALIMU SIO SAHIHI

KIUKWEL MIMI NAZAN NGUVU WANAZOTUMIA KUWASEMA ZINGETUMIKA KUWASAIDIA VLE WANAVYOONA WAO SAHIHI KWAO , NA NDUGU NA JAMAA MARAFK WAMENIZUNGUKA ILA SIJAWAH KUKERWA NA MAISHA YAO

MAMA ALIKUW TEACHER LAKN HII KITU INAKELA NA KUUMIZA ZAIDI NIMEFATILIA HADI MISHAHARA YAO NA WENGINE LOCAL GOVERNMENT SALARY SCALE ZPO SAWA KILICHO WAKOSA NI POSHO TUU


WALIMU NI WENGI
WAJINGA WANAONEKA NI WENGI
ILA CHUKUA SAMPO KWA UWIANO
 
Wanaowadhihaki walimu wana hoja ya msingi naona Kuna jambo wanajaribu kulifikisha!

Kama wewe sio mwalimu ni vema ukakaa Kimya usubiri walimu wajibu mapigo maana huenda kukaa Kimya kwa walimu kunamaanisha wanakubaliana na yanayosemwa
Nina wasiwasi na wewe huenda ndio walewale
 
Habari wa wakati huu JF members. Na imani mkoa powa sana, niende moja kwa moja kwenye jambo lililonifanya nipost kwma mara ya kwanza humu JF.

Mimi siyo mwalimu na sijawahi kuwa mwalimu na ndoto ya kuwa mwalimu lakini hili swala la wanajf kuwatukana walimu ni mambo ya ushamba na ujinga uliokithiri huwezi kuwatukana walimu, hawa ni watu wanatakiwa kujaliwa na kuangaliwa sana, just imagine mtu alikufundisha na kukutoa ujinga na upumbavu mwingi tena walikuonyeaha njia ya kupita ili uwe mtoto mwema na mzuri.

Walimu walituchapa pale tulipochelewa shule yote haya ni kuzihimiza kuutunza muda vizuri lakini leo MWANAJF mmoja mjinga anakuja na kuwatukan na kuwadhihaki hakumbuki kama hata hiyo akili aliyotumia kuandika huo uzi aliyemfundisha ni huyo mwalimu anayemtukana kwamba hawajilewi.

JF tunaomba hawa vijana wa hovyo wanaosapoti hizo uzi wapigwe ban hata ya mwezi maana wanawadharirisha sana.

Acheni mihemko isiyokuwa na maana wala tija yoyote, nasema tena acheni mihemko ya kijinga sitaki kuwatukana ila mnakera sana tena sana. Huyo anayesapoti huo ujinga huenda ni wendawazimu.

Rai yangu kwa wana JF muache kuwatukana walimu hivyo. Hawa walimu wana upendo sana imagine mtu anawaomba watoto wako wasifunge shule bali wabaki waaome hivi huoni kama ni upendo uliokithiri. Halafu limtu ambalo halifikiri linakuja from nowhere linasema walimu hawajilewi wewe ndiyo hujielewi na inabidi ukpimwe akili yako huenda ina mapungufu mengi.

Serikali pia iwaangalie walimu wana mishahara midogo sana ambayo haiendani na kazi wanayoifanya yaani kutwa nacheza na watoto mitoto mingine mitundu mwalimu anawafanya kuwa wema na wenye busara. Juzi nilienda shule X kuchukua doc fulani ivi nikaona nimwachie mwalimu ata 5000/= daah alinishukuru sana mpaka nikashangaa duuh aisee iliniuma ile wanaipenda lakini Watu hamuwapendi.

ACHENI MIHEMKO YA AJABU AMBAYO HAINA MAANA NA TIJA YOYOTE​

Tulia wewe le ticha
 
Back
Top Bottom