Shukurani ya Punda ni Mateke, aliyefundishwa na Mwalimu leo ni wa kwanza kumtukana Mwalimu

Sorry mi siyo mwalimu huo uhusika unaonipa siyo pw
Wanaowadhihaki walimu wana hoja ya msingi naona Kuna jambo wanajaribu kulifikisha!

Kama wewe sio mwalimu ni vema ukakaa Kimya usubiri walimu wajibu mapigo maana huenda kukaa Kimya kwa walimu kunamaanisha wanakubaliana na yanayosemwa
 
UMEONGEA FACTS MAPUNGUfu YA KADA YA UALIMU YANAONEKANA KWAKUW WALIMU WAPO KUANZIA NGAZI YA TAIFA HADI KIJIJI/MTAA

LAKN UNAPOKUJA KUATAK PROFESSIONAL YA UALIMU AU WALIMU SIO SAHIHI

KIUKWEL MIMI NAZAN NGUVU WANAZOTUMIA KUWASEMA ZINGETUMIKA KUWASAIDIA VLE WANAVYOONA WAO SAHIHI KWAO , NA NDUGU NA JAMAA MARAFK WAMENIZUNGUKA ILA SIJAWAH KUKERWA NA MAISHA YAO

MAMA ALIKUW TEACHER LAKN HII KITU INAKELA NA KUUMIZA ZAIDI NIMEFATILIA HADI MISHAHARA YAO NA WENGINE LOCAL GOVERNMENT SALARY SCALE ZPO SAWA KILICHO WAKOSA NI POSHO TUU


WALIMU NI WENGI
WAJINGA WANAONEKA NI WENGI
ILA CHUKUA SAMPO KWA UWIANO
 
Wanaowadhihaki walimu wana hoja ya msingi naona Kuna jambo wanajaribu kulifikisha!

Kama wewe sio mwalimu ni vema ukakaa Kimya usubiri walimu wajibu mapigo maana huenda kukaa Kimya kwa walimu kunamaanisha wanakubaliana na yanayosemwa
Nina wasiwasi na wewe huenda ndio walewale
 
Tulia wewe le ticha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…